Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Basi msipeleke wasanii mchwara kila siku. Labda ni sababu tosha ya kubadilisha uongozi
Mbeya Kuna hela ,njaa zao ndio zinawaleta.

Mabilioni ya Mapato ya Halmashauri za Mbeya,huwezi Kuta hii Mwanza πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Ziko wapi hizo nzuri?
 
Kitu inaenda kutoka hapa sio ya Nchi hii,kaangalie uwanja wa Dom ndio Utajua hujui πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/e2Xn7DLT1Qs?feature=shared
 
Hapa sio Arusha ni Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/hade_travel/status/1745353206551433667?t=Mo_6DXxEj0gpCCGli_Na3g&s=19
View: https://x.com/hade_travel/status/1627695382363766785?t=3STDr7C0V8xgxtjKLXma6w&s=19
Wapi Mwanza? πŸ˜†πŸ˜†
 
Yaani unapotuma hizo picha umejitutumua utafikiri akili imekandwa na ngano, una Imani kabisa hayo mabanda ndo ya kubattle na mwanza. Punguza mihemuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…