Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Unapomjibu kwa picha ana vimba kichwa anaona kama yupo sahihi sana kujilinganisha na majiji yenye hadhi ya juu kwa mbeya
Hahaha ngoja tumkaushie
Mwanza City Jiji lenye hadhi ya Juu 😆😆😆😆👇👇

My Take: Dom tuu ndio inaweza simama mbele ya Mbeya nikakausha ila sio Vijijini vyenu hivyo vingine vya mafukara 🤣🤣
 

Akili yako inakutuma kulinganisha mwanza na hii aibu. Kweli ya ngoswe mwachie ngoswe
 
Tukiweka utoto wa ccm na siasa za kishamba pembeni tunaweza kusema, Tanzania nzima hakuna mkoa wenye hadhi ya kuwa jiji.
 
Watu wa Mbeya wanasemaga DOGO NITAKUTAAANDIKA DOGO!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…