Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mda Huwa ni Msemaji kweli,mlikuwa mnasema hivyo hivyo kwamba Mbeya haiwezi Jenga njia 4 Sasa km 34 ziko under construction na nyingine km 215 igawa Tunduma inakuja ndio itakuwa dual carriage ya kwanza Trunk Road Tanzania.
Hatujabisha ila BRT huo ninuongo
 
Hatujabisha ila BRT huo ninuongo
Uongo gani Sasa? Kwa hiyo unawabishia Dart au? Soma Makala haya 👇
Screenshot_20230614-120203.jpg


Umesoma hizo demand Kwa percentage?
 
Old Airport ni kubwa sana,kupumua kupinunakokusema wewe? Ma stand ya Magufuli mbezi,Na za Mwanza ziko Nje ya Mji? Maeneo yake yanalingana Ukubwa na Old Airport?

Safi sana Jiji Kutenga Old Airport kuwa Stand Mpya ,tusiige hao nyumbu wengine wa Majiji ya huko ambao wameweka Stand zao mbali na Mji..

Mwisho Mbalizi sio sehemu ya Jiji la Mbeya,kule ni Mbeya DC ,sana sana Kuna mapendekezo ya kuanzisha Manispaa ya Mbalizi kama itapita ndio itapata Kujitegemea na kuwa na Bajeti zake ila Kwa Sasa Haina .
Ukubwa wa old airport ni WA kiaje mkuu?maeneo tupu au makazi ya watu?!,wanaoweka stand nje ya mji wanamawazo mapana kuliko wale wanaokusanya project zote katikati ya mji kama wafanyavyo Mbeya,Mbalizi siyo sehemu ya Mbeya Jiji lakini ni ndani ya wilaya ya Mbeya,pia ni umbumbu tu wa viongozi wa mkoa kutoweza kupambana na kuipa hadhi Mbalizi kuwa halmashauri ya Mji,kupambana ni pamoja na kuset miundombinu mikubwa Karibu na Mbalizi Ili kuukuza mji huu.
Tatizo lako unawaza stendi ikijengwa IWAMBI wewe mkazi wa Ituha itakuwa mbali kufika😎,bila kujua kuwa Kuna stendi ya 88 pale,ko hutapaswa kufika stendi kuu mara Kwa mara!huo ubinafsi wenu ndiyo unaoirudisha Nyuma Mbeya

Kwa Sasa sidhani kama Kuna kata kubwa kuizidi IWAMBI Kwa eneo lililotupu ndani ya Jiji la Mbeya,kata kubwa tupu ni pamoja na Kalobe,Itende,Swaya,Mwasanga .

Waulize watu wa Mwanza Ile stand mpya wakati inajengwa kama palikuwa mjini pale,pia hata hii ya Mbezi(Magufuri)hapakuwa mjini kama uonavyo Leo pamechangamka.

Viongozi wa Mbeya wameshindwa land management,Angalia vyuo kama SAUT vilivyojibana mjini ilhali Kuna maeneo Mengi tu ndani ya Jiji yapo tupu,hongera kwao CBE wamejitokea nje kabisa ya mji(chunya road hukooo),pia ADEM nmeona jengo lao IWAMBI pale,(safi kabisa).

Changia chanya Kwa maendeleo ya mkoa wa Mbeya🙏🙏
 
Watanzania ni watu wa hovyo,huwa hawapendi kuambiwa ukweli nashangaa humu watu wa kutoka huko mbeya wanavyotetea-na ndio maana hatuendelei kamwe.
Yani lile jiji LA Mbeya ni Upumbavu wa karne,hapafai kabisa kuitwa jiji-kila kitu ni hovyo.
Mimi home ni Mbeya lakini siwezi kusifia uchafu Mimi,nmetembea miji mingine ya nchi hii mbona wanajitahidi kuipangilia!hapo jirani zao Sumbawanga tuu imeiacha mbali Mbeya Kwa mpangilio mzuri,now nipo Tabora,pia huwezi fananisha mpangilio wa mji wa Tabora na Mbeya,hata Njombe wakituliza akili watatushangaza😔😔.

Mbeya tuna eneo kubwa sana,mipango miji wanasinzia.
 
Mbeya, vumbi kama lote, hakuna vivuko sehemu nyeti kama kabwe pale ni vurugu tupu za malori,bajaji, bodabada na waenda kwa miguu

City center ya mbeya haieleweki

Moshi imepangika vizuri mjini mara elfu 10 ya mbeya

I concur with you
 
Mbalizi ndiyo eneo lililotengwa zaidi kimaendeleo ndani ya Mbeya,Miradi mingi mikubwa inakimbiziwa ukanda wa Uyole,mjini kati panaachwa papwekee pakihifadhiwa kama car parking tuu[emoji848][emoji848]!!!viongozi wanaopelekwa Mbeya hawajui historia ya Jiji Hilo,hata wakiulizwa city centre ni wapi hawajui!!kuanzia wakuu wa mikoa,wakurugenzi wanaopelekwa Mbeya hawaijui historia ya Mbeya,madiwani wote ni mambumbu na wabinafsi,wanafiki.na walafi pia.

Stendi kuu mpya ya kisasa kujengea old airport ni ushahidi mwingine kuwa Hawa jamaa hawaoni mbalii,old airport ni miongoni mwa miji ya zamani,stendi kuu ikiwa pale kutakuwa hakuna sehemu ya mji kupumulia au kutanukia,we fikiria soko kuu Mwanjelwa liko ukanda huohuo,ukanda huo pia una karibia vyuo vikuu vyote vilivyopo Mbeya (M.U.S.T excluded). Idadi kubwa ya watu wataishi ukanda huu na hivyo kuzuia mji kutanuka.STENDI KUU YA KISASA IJENGWE IWAMBI Ili iwe chachu ya kuifanya Mbalizi ikue na kufikia hadhi ya Manispaa.

Hakika, Stendi kuu kujengwa pale eneo la airport ni ushahidi tosha kuthibitisha incompetence ya viongozi wa ule mji. Shida iko kwa safu nzima ya uongozi wa halmashauri.
 
Mimi home ni Mbeya lakini siwezi kusifia uchafu Mimi,nmetembea miji mingine ya nchi hii mbona wanajitahidi kuipangilia!hapo jirani zao Sumbawanga tuu imeiacha mbali Mbeya Kwa mpangilio mzuri,now nipo Tabora,pia huwezi fananisha mpangilio wa mji wa Tabora na Mbeya,hata Njombe wakituliza akili watatushangaza😔😔.

Mbeya tuna eneo kubwa sana,mipango miji wanasinzia.
Ukiacha mpangilio Kuna jipya jingine umeliona huko kwingine?

Haya umetaja Tabora,Mwanza Ina mpangilio gani ukiacha CBD?
 
Back
Top Bottom