ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Unawashwa sehemu gani?Katika majiji ya hovyo niliyotembelea Mbeya ni ya kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawashwa sehemu gani?Katika majiji ya hovyo niliyotembelea Mbeya ni ya kwanza
Kwa majin hpn Kuna maji tena uanpiga dry Moja kwa Moja kutoka kwenye bombaMaji yenyewe tu ni shida huko mbeya
Old Airport ni kubwa sana,kupumua kupinunakokusema wewe? Ma stand ya Magufuli mbezi,Na za Mwanza ziko Nje ya Mji? Maeneo yake yanalingana Ukubwa na Old Airport?Mbalizi ndiyo eneo lililotengwa zaidi kimaendeleo ndani ya Mbeya,Miradi mingi mikubwa inakimbiziwa ukanda wa Uyole,mjini kati panaachwa papwekee pakihifadhiwa kama car parking tuu🤔🤔!!!viongozi wanaopelekwa Mbeya hawajui historia ya Jiji Hilo,hata wakiulizwa city centre ni wapi hawajui!!kuanzia wakuu wa mikoa,wakurugenzi wanaopelekwa Mbeya hawaijui historia ya Mbeya,madiwani wote ni mambumbu na wabinafsi,wanafiki.na walafi pia.
Stendi kuu mpya ya kisasa kujengea old airport ni ushahidi mwingine kuwa Hawa jamaa hawaoni mbalii,old airport ni miongoni mwa miji ya zamani,stendi kuu ikiwa pale kutakuwa hakuna sehemu ya mji kupumulia au kutanukia,we fikiria soko kuu Mwanjelwa liko ukanda huohuo,ukanda huo pia una karibia vyuo vikuu vyote vilivyopo Mbeya (M.U.S.T excluded). Idadi kubwa ya watu wataishi ukanda huu na hivyo kuzuia mji kutanuka.STENDI KUU YA KISASA IJENGWE IWAMBI Ili iwe chachu ya kuifanya Mbalizi ikue na kufikia hadhi ya Manispaa.
Hao wajinga hata Mbeya hawaijui,muilize Kwa mara ya mwisho alifika liniKwa majin hpn Kuna maji tena uanpiga dry Moja kwa Moja kutoka kwenye bomba
Mbeya inakuwasha sehemu gani? Ndio maana haikauki mdomoni mwaka 😁😁Mbeya pale hakuna mji , ni kikundi cha wanakijiji wamekusanyika pamoja
Nimemkatalia na mpuuzi mmja hivyo hivyo,harafu what is so special kuwa na mall kama sio ushamba?Ukiwa bendera fuata upepo utaona hivyo. Huku kwetu malls hazifai. Tunaiga tu kwa ushamba na ujinga.
Hizi picha hapa walioiga angle gani? 😆😆😆Okay tuondoe Mbalizi, tunabaki na Airport , uyole hadi igawilo, ilemi , isanga, meta, mabatini, soko matola , iganzu, gana, kote huko ni mavumbi mavumbini, mama Joni , ilomba, isyesye, uwata, kote huku uswazi.
Mara kadhaa nikiwa natokea chunya najaribu kupiga picha nipate view ya mbeya ila siipati, yaani hakuna angle utakaa upige picha ya jiji. Hakuna jiji pale. Hovyo kabisa . In short there is nothing to show off.
Wapi Tanzania Ina lami Kama kote?Mbeya, vumbi kama lote, hakuna vivuko sehemu nyeti kama kabwe pale ni vurugu tupu za malori,bajaji, bodabada na waenda kwa miguu
City center ya mbeya haieleweki
Moshi imepangika vizuri mjini mara elfu 10 ya mbeya
Naona Slowly umeamua kusema ukweliMbeya pale hakuna mji , ni kikundi cha wanakijiji wamekusanyika pamoja
Huyo mbumbumbu hawezi elewa,Nilimuuliza Mwanzo kwani zile frame Zina shida gani akatokomea 😜😜Zile frame zinafaa mjini kuliko malls. Malls zinafaa nchi za baridi kama indoor shopping wakati wa baridi kali. Malls zilijengwa ili kuhudumia wazungu wa suburbs waliotaka kuishi kitulivu na huku zoning laws zao zikiwakataza kuendesha biashara maeneo ya makazi. Malls zinahitaji watu wawe na usafiri binafsi na ndiyo maana malls zinakuwa na parking lots kubwa kuliko hata jengo lenyewe. Huku tunahitaji maeneo wazi ya biashara kama hizo fremu za mjini. Tunahitaji centre nyingi za biashara.
Kwa ushamba watu wanakimbilia kujenga mamalls huku Afrika bila kujua sababu ya uwepo wake. Mshamba akiona kitu kinang'aa au kikubwa anajua ndiyo kizuri.
Wewe kinachokusumbua ni ushamba,Sasa ni hivi hizo malls kajenge wewe huko kwenye Miji ya Kisasa,Mbeya hawazihitaji Wala hawana shida na ndio maana wawekezaji hawawezi kujenga huo ujinga..Hakuna mji wa kisasa duniani usio na malls , I am wondering unasema malls ni ushamba , sema wewe ndio mshamba. Hujasafiri kuona miji ya wengine duniani ipoje.
Malls ni zaidi ya maduka ya mitumba ya kabwe, malls kuna huduma nyingi kuanzia recreations , michezo ya watoto , huduma za kifedha, cinema halls nk .
Ukute wewe ni miongoni mwa watumishi wa halmashauri ya mji wa mbeya wanaojenga fremu za kupangisha CBD.
View attachment 2656749
Anawashwa huyo ndio Mbeya haimkaukiTuache na mbeya yetu
Mfano mzuri ni Dodoma, mapema sana watu washaharibuMipango miji ni changamoto kwa nchi nzima. Na wala viongozi hawajitafakari
Tanga
NAKAZIAWatanzania ni watu wa hovyo,huwa hawapendi kuambiwa ukweli nashangaa humu watu wa kutoka huko mbeya wanavyotetea-na ndio maana hatuendelei kamwe.
Yani lile jiji LA Mbeya ni Upumbavu wa karne,hapafai kabisa kuitwa jiji-kila kitu ni hovyo.
arusha inapaswaTanga
Arusha
Dodoma
Mbeya
Hayapaswi kuitwa majiji
Si Mbeya tuMbeya haina kiwango cha kuwa jiji kwa vigezo vyovyote.