game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
- Thread starter
- #61
Hichi kijiji ndio ufananishe na jiji kubwa kama la Mwanza , Cbd kwa karne hii unajenga contempory frames then bado et mbeya nalo jiji [emoji1]
Hawa watu wa halmashauri ni washamba sana mkuu , very awkward. Ni kama hawana kabisa exposure. Hawana shule wala exposure