Tukiongelea Watu ni Dar pekee yenye watu wengi. Hayo majiji mengine yanasikitishaNasisitiza kama umewahi kutembea nchi za watu, basi fahamu nchi hii hakuna jiji. Vyote ni vijiji vilivyochangamka.
Hayo maneno tu kama China kupewa Bandari ya BagamoyoHuyu hapa [emoji116]
Government to extend BRT project to four other cities
Dart will be able to plan and implement BRTs in other cities such as Dodoma, Tanga, Arusha, Mbeya, Mwanza, and other related areas.www.thecitizen.co.tz
Haipaswi na haina vigezoarusha inapaswa
Mda Huwa ni Msemaji kweli,mlikuwa mnasema hivyo hivyo kwamba Mbeya haiwezi Jenga njia 4 Sasa km 34 ziko under construction na nyingine km 215 igawa Tunduma inakuja ndio itakuwa dual carriage ya kwanza Trunk Road Tanzania.Hayo maneno tu kama China kupewa Bandari ya Bagamoyo
Hatujabisha ila BRT huo ninuongoMda Huwa ni Msemaji kweli,mlikuwa mnasema hivyo hivyo kwamba Mbeya haiwezi Jenga njia 4 Sasa km 34 ziko under construction na nyingine km 215 igawa Tunduma inakuja ndio itakuwa dual carriage ya kwanza Trunk Road Tanzania.
Uongo gani Sasa? Kwa hiyo unawabishia Dart au? Soma Makala haya 👇Hatujabisha ila BRT huo ninuongo
Ukubwa wa old airport ni WA kiaje mkuu?maeneo tupu au makazi ya watu?!,wanaoweka stand nje ya mji wanamawazo mapana kuliko wale wanaokusanya project zote katikati ya mji kama wafanyavyo Mbeya,Mbalizi siyo sehemu ya Mbeya Jiji lakini ni ndani ya wilaya ya Mbeya,pia ni umbumbu tu wa viongozi wa mkoa kutoweza kupambana na kuipa hadhi Mbalizi kuwa halmashauri ya Mji,kupambana ni pamoja na kuset miundombinu mikubwa Karibu na Mbalizi Ili kuukuza mji huu.Old Airport ni kubwa sana,kupumua kupinunakokusema wewe? Ma stand ya Magufuli mbezi,Na za Mwanza ziko Nje ya Mji? Maeneo yake yanalingana Ukubwa na Old Airport?
Safi sana Jiji Kutenga Old Airport kuwa Stand Mpya ,tusiige hao nyumbu wengine wa Majiji ya huko ambao wameweka Stand zao mbali na Mji..
Mwisho Mbalizi sio sehemu ya Jiji la Mbeya,kule ni Mbeya DC ,sana sana Kuna mapendekezo ya kuanzisha Manispaa ya Mbalizi kama itapita ndio itapata Kujitegemea na kuwa na Bajeti zake ila Kwa Sasa Haina .
Fala wewe ,Mbeya itswatesa Hadi mkome..
Asilimia 70 ya nyumbu wa Mwanza wanaishi kwenye mabanda Milimani kule [emoji16][emoji16]
Mimi home ni Mbeya lakini siwezi kusifia uchafu Mimi,nmetembea miji mingine ya nchi hii mbona wanajitahidi kuipangilia!hapo jirani zao Sumbawanga tuu imeiacha mbali Mbeya Kwa mpangilio mzuri,now nipo Tabora,pia huwezi fananisha mpangilio wa mji wa Tabora na Mbeya,hata Njombe wakituliza akili watatushangaza😔😔.Watanzania ni watu wa hovyo,huwa hawapendi kuambiwa ukweli nashangaa humu watu wa kutoka huko mbeya wanavyotetea-na ndio maana hatuendelei kamwe.
Yani lile jiji LA Mbeya ni Upumbavu wa karne,hapafai kabisa kuitwa jiji-kila kitu ni hovyo.
Ndio haendi huko sasaUongo gani Sasa? Kwa hiyo unawabishia Dart au? Soma Makala haya [emoji116]
View attachment 2656973Mpango mzima mabasi ya mwendokasi majijini
Mataifa mengi yanayoendelea yanakabiliwa na changamoto ya uwiano sawa kati ya idadi ya miundombinu na huduma za kijamii zinazohitajika.www.mwananchi.co.tz
Umesoma hizo demand Kwa percentage?
Umefika Mwanza ukaona wasukuma walivowengi pale mjini? yaani jiji linawatu zaidi ya milioni unasema sio wengi.Tukiongelea Watu ni Dar pekee yenye watu wengi. Hayo majiji mengine yanasikitisha
Sensa inasema tofauti, Mwanza vijiji vingiUmefika Mwanza ukaona wasukuma walivowengi pale mjini? yaani jiji linawatu zaidi ya milioni unasema sio wengi.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Nani haendi?Ndio haendi huko sasa
Mwanza sio Mji ni slums everywhere,huna hata aibu?Usilinganishe mwanza na mji kama Mbeya
Mbeya, vumbi kama lote, hakuna vivuko sehemu nyeti kama kabwe pale ni vurugu tupu za malori,bajaji, bodabada na waenda kwa miguu
City center ya mbeya haieleweki
Moshi imepangika vizuri mjini mara elfu 10 ya mbeya
Mbalizi ndiyo eneo lililotengwa zaidi kimaendeleo ndani ya Mbeya,Miradi mingi mikubwa inakimbiziwa ukanda wa Uyole,mjini kati panaachwa papwekee pakihifadhiwa kama car parking tuu[emoji848][emoji848]!!!viongozi wanaopelekwa Mbeya hawajui historia ya Jiji Hilo,hata wakiulizwa city centre ni wapi hawajui!!kuanzia wakuu wa mikoa,wakurugenzi wanaopelekwa Mbeya hawaijui historia ya Mbeya,madiwani wote ni mambumbu na wabinafsi,wanafiki.na walafi pia.
Stendi kuu mpya ya kisasa kujengea old airport ni ushahidi mwingine kuwa Hawa jamaa hawaoni mbalii,old airport ni miongoni mwa miji ya zamani,stendi kuu ikiwa pale kutakuwa hakuna sehemu ya mji kupumulia au kutanukia,we fikiria soko kuu Mwanjelwa liko ukanda huohuo,ukanda huo pia una karibia vyuo vikuu vyote vilivyopo Mbeya (M.U.S.T excluded). Idadi kubwa ya watu wataishi ukanda huu na hivyo kuzuia mji kutanuka.STENDI KUU YA KISASA IJENGWE IWAMBI Ili iwe chachu ya kuifanya Mbalizi ikue na kufikia hadhi ya Manispaa.
Ukiacha mpangilio Kuna jipya jingine umeliona huko kwingine?Mimi home ni Mbeya lakini siwezi kusifia uchafu Mimi,nmetembea miji mingine ya nchi hii mbona wanajitahidi kuipangilia!hapo jirani zao Sumbawanga tuu imeiacha mbali Mbeya Kwa mpangilio mzuri,now nipo Tabora,pia huwezi fananisha mpangilio wa mji wa Tabora na Mbeya,hata Njombe wakituliza akili watatushangaza😔😔.
Mbeya tuna eneo kubwa sana,mipango miji wanasinzia.
Nafikiri kuna haja ya kuweka somo/topic maalumu ya mipango miji katika elimu yetu.Mfano mzuri ni Dodoma, mapema sana watu washaharibu