Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Ukweli ni kwamba "Mbeya Ni KIJIJI"... Hata Manispaa ya Moshi Ina miundombinu na mpangilio bora kuliko Mbeya.

Nathan ina hadhi ya Jiji Kwa kuwaití ina Kipato kikubwa {Regional GDP}. Otherwise, Kuupanga ule mji mpya haiwezekani, Kwanza ni mfinyu sana, umezungukwa na milima, Alaf hapo kati kati ya "kijiji" tayari kuna Slum za kutosha.
 
Mashamba na kambi, na hata ile ya Itende ni muhimu kwa mji kupumua. Hatuwezi jenga kila kipande cha ardhi. Na hata hayo maeneo yakijengwa bado watu watataka mengine, si kwamba kujenga hapo kutamaliza tatizo la makazi. Forest Mpya ilikuwa pori likajengwa, Iwambi palikuwa eneo la wazi pakajengwa. Eneo la wazi la Airport ya zamani panajengwa. Bado watu wanaendelea kutaka zaidi na zaidi. Watu wakajenge Mbeya vijijini. Ituha kwa mbele na kuelekea njia ya Dar. Mji unakuwa mzuri ukiwa na maeneo makubwa ya wazi.
mji unapumua vizuri kabisa(Greencity) bila haja ya kuwa na mashamba katikati ya mji tena upande wa pili kambi ya jeshi
 
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..

Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..

Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232

Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..

Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..

Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.
Kweli yale mashamba pale uyole yanafanya mbeya ionekane bado ni kijijini, yatolewe ujengwe mji mkubwa wa kisasa with shopping malls[emoji123]
 
Mjinga ni wewe unaeishi kwenye mabanda ya nguruwe, Namanyere ni Bora mara elfu 1,000 kuliko Gongolamboto au Kirumba

Sio ushamba ni mjinga tuu huyo,Kwa Sasa Mbeya Iko vizuri na sifa zote za Jiji ndio maana hoja Yao eti hkuna mall,ni akili au Matope?

Mtu anataja mitaa ambayo haijapimwa,mwambie ataje Mji wake Ili tuone kama imepimwa..watu wa hivyo Huwa wanaishi Ile mitaa ya mabanda walikojaa panya road 😁😁
Arafu siku zote wenye hoja za hivi huwa ni wakuja mjini, yani kwakua kule majoring kwao miaka nenda rudi hakubadiliki akapata bahati akaja mjini, akakuta magorofq, magazine nk basi sehemu yoyote akisikia ni mjini a aqua kupo sawa na pale alipo so akienda akiona tofauti anaashangaa na kuja na hoja za kitoto mitandaoni

Mzawa wa mjini hana hoja za kitoto cause ameshuhudia mji unakuwa kwenye pori baada ya miaka pori linatoweka makazi ila wajijini kwenye pori ni pori tangu uhuru mpaka leo
 
Arafu siku zote wenye hoja za hivi huwa ni wakuja mjini, yani kwakua kule majoring kwao miaka nenda rudi hakubadiliki akapata bahati akaja mjini, akakuta magorofq, magazine nk basi sehemu yoyote akisikia ni mjini a aqua kupo sawa na pale alipo so akienda akiona tofauti anaashangaa na kuja na hoja za kitoto mitandaoni

Mzawa wa mjini hana hoja za kitoto cause ameshuhudia mji unakuwa kwenye pori baada ya miaka pori linatoweka makazi ila wajijini kwenye pori ni pori tangu uhuru mpaka leo
Sasa kama umeshuhudia Mji unakua unapata wapi jeuri ya kuponda Mbeya ya Sasa vs ya zamani? Nyie wajinga si ndio mliaminishwa kwamba Mbeya haitakiwi kujengwa gorofa zaidi ya 3 na mkaamini?

Sie wa kuja ndio tumewaletea maendeleo mnapata na pa kupigia picha nyumbu nyie.
 
Mnatakiwa mbadirike, hakuna mtu anayetaka kuishi hilo jiji lenu, mtu yoyote akiambiwa apangiwe kazi jiji la mbeya au Mwanza we unazani Mbeya itapata mtu hata mmoja?
Mngekuwa hamtaki msingekuwa mnawashwa na Mbeya 😁😁

Mbeya haikwepeki ni sweet home.Karibu Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo 8/8
 
Arafu siku zote wenye hoja za hivi huwa ni wakuja mjini, yani kwakua kule majoring kwao miaka nenda rudi hakubadiliki akapata bahati akaja mjini, akakuta magorofq, magazine nk basi sehemu yoyote akisikia ni mjini a aqua kupo sawa na pale alipo so akienda akiona tofauti anaashangaa na kuja na hoja za kitoto mitandaoni

Mzawa wa mjini hana hoja za kitoto cause ameshuhudia mji unakuwa kwenye pori baada ya miaka pori linatoweka makazi ila wajijini kwenye pori ni pori tangu uhuru mpaka leo

Mzawa wa mjini mbeya ? Wapi hasa , mzawa wa Nzovwe? Kwamba ukizaliwa mbeya na wewe unadai umezaliwa mjini ? Yaani uzaliwe igawilo halafu useme umezaliwa mjini ?
 
Mikoa ya mbeya na iringa geographical yake inachangia sana hiyo miji kutoendelea ..
mfano Iringa Ile milima milima mpaka katkt ya mji Yan inaondoa Vibe kichiz
Mikoa yote ya nyanda za juu kusini ni zaidi ya utopolo, hata ukipelekwa huko unahisi upo mwisho wa dunia au umetelekezwa na serikali, tabu sana hiyo mikoa.
 
Mzawa wa mjini mbeya ? Wapi hasa , mzawa wa Nzovwe? Kwamba ukizaliwa mbeya na wewe unadai umezaliwa mjini ? Yaani uzaliwe igawilo halafu useme umezaliwa mjini ?
Kwa nini unawashwa na Mbeya? Washwa na kwenu Iringa kwenye tembe huko ,achana na Mbeya kabisa.
 
Sasa kama umeshuhudia Mji unakua unapata wapi jeuri ya kuponda Mbeya ya Sasa vs ya zamani? Nyie wajinga si ndio mliaminishwa kwamba Mbeya haitakiwi kujengwa gorofa zaidi ya 3 na mkaamini?

Sie wa kuja ndio tumewaletea maendeleo mnapata na pa kupigia picha nyumbu nyie.

Mbeya ya miaka ya 2005 was far better and organized kuliko hii takataka ya sasa yenye bajiji kama uchafu.
 
Personal attack na unataka kushinda,Unajua kwanini nimeacha ku argue nawewe?!nmegundua huna facts,unaishindanisha miji na hutaki Mbeya ishindwe,uko tayari kuficha uozo unaofanywa na viongozi kuidunisha Mbeya yetu,Viongozi wenye maono hafifu kuhusu Mbeya ni lazima waambiwe ukweli!Huna Nia njema na Mbeya mkuu,ungekuwa na Nia njema na mkoa huo basi ungetambua kirahisi Hilo Jiji linakwamishwa na viongozi mbumbu waliokosa exposure.

Siwezi kujifariji ujinga Mimi,MBEYA INA MPANGILIO MBOVU KULIKO MAJIJI YOTE TANZANIA,bila kusahau ukosefu wa KMS za barabara za lami.
Huyo jamaa yako huwa anatetea ujinga na kujifariji wakati hajui kufanya hivyo ni sawa na kuzidi kuididimiza mbeya yenu.
 
Huyo jamaa yako huwa anatetea ujinga na kujifariji wakati hajui kufanya hivyo ni sawa na kuzidi kuididimiza mbeya yenu.
Fala wewe nenda kaondoe mabanda ya nguruwe yaliyojaa Mwanza ndio uje kuzungumzia Mbeya.
 
Uliyosema yote ni kweli..yani jiji halina hta shopping mall?..weekend cc wa maisha ya kawaida tunajazana Mwailubi na mbeya pazuri tu..maana city pub na carnival pashajifia kiaina!!
Hapo mwailubi kwenyewe kuna vibaka,tabu tupu
 
Back
Top Bottom