Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mpaka mwaka huu 2024 mamlaka bado zinaruhusu ujenzi wa tofali mbichi tena jiji I..ndio mana mbeya Kuna slums nyingi ..Mtu akiamka anakandika tofali zake mbichi kashapata nyumba.Mbeya inatakiwa ihame huko kama kweli inataka kuwa na hadhi ya jiji.Fensi nyingi mbeya zimejaa manyasi Kwa sababu ya tofali mbichi..yaani very Local.Tena mnaopiga kelele kuwa mnaipenda mbeya pigeni kelele design ya stendi mpya ya mabasi inayotaka kujengwa ibadirishe..Otherwise mbeya ndio litakuwa jiji kituko.
Wewe punguani nimekuuliza nitajie Jiji ambalo hakina slums tukianza na hivyo Vijiji uchwara ambavyo vinakupa wenge.

Pili nakuambia tena ,tofari ya udongo ya Mbeya Ina binder nyingi sana ndio maana huwezi sikia nyumba imeanguka,ule udongo una cement ya kutosha ndio maana Kuna kiwanda Cha saruji pale,ukifyatua ukachoma tofari inakuwa biskuti tofauti na ikiwa mbichi,usilingamishe na upuuzi wa kwenu Kasulu.

Mwisho Mbeya is here to stay ,Bado hujasema Hadi usemeπŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAFu4BrqbED/?igsh=MXcxajRqaGl2cXE3MQ==
 
Mbeya ukiitaja usijaribu kulinganisha na either mwanza, Arusha, Dodoma au dar es salaam. Tuiache mbeya iitwe Jiji kwa namna yake na si kwa mifanano kama unavyofikiri
1. Hotels and accomodation inapigwa
2. Private hospitals inapigwa
3. Mtandao wa bara bara za lami inapigwa
4. Idadi ya viwanda inanyoloshwa
5. Idadi ya shule binafsi inagongwa
6. Idadi ya watu inabutiwa
7. Viwanja vya mpira inapigwa
8. Viwanja vya ndege inapigwa
9. Majengo marefu na mapana inapigwa
10. Idadi ya vyuo inapigwa
11. Everything iko down
12. Stand za mabasi inapigwa
13. Soko kuu inabutuliwa
14. Pedestrian bridge inapigwa
15. Suburbs za maana inapigwa
16. Malls inapigwa
17. Angle uliyosimamia napo umepigwa
18. Vyuo vikuu inatandikwa
19. Upana wa mji inapigwa
20. Idadi ya shule binafsi inapigwa
21. Idadi ya watu wanaomuliki magari inapigwa
22. Kipato Cha mtu mmoja mmoja inapigwa
23. Mkeka mrefu sana niishie hapo kwanza napo inapigwa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
1.Kwa hoteli si tukianza ku post ukakimbia wewe? Mwanza haiwezi kumshinda Mbeya Kwa chochote zaidi ya Umaskini.

Arusha tuu ndio anaweza babaisha Mbeya kwenye Hoteli.

2.Private hospitals nilikuwa wa kwanza ku post nikasema leta ukakimbia πŸ˜†πŸ˜†

3.Lami gani mlizonazo nyie za kuzidi Mbeya? Hapa kwenye Lami Dom tuu ndio anaweza babaisha Mbeya

4.Mwanza Kuna viwanda kuzidi Mbeya? Tumia akili basi.

5.Shule imezaliwa Mbeya ,huko Mwanza is Slum mlianza lini kusoma nyie?

6.Hapa Mwanza Mnatuzidi Mbeya idadi ya watu maskini

7.Mpira wenyewe hamjui,tuna Timu 3 Ligi kuu ,Mwanza Ina katimu 1 ka mbeleko ya siasa πŸ˜†πŸ˜†

8.Kuwa na aibu,Mwanza Kuna uwanja wa ndege kweli wa kulinganisha na Songwe Airport? Kichekesho 🀣🀣

9.Majengo ya mbeleko ya serikali ,Mbeya Kuna majengo ya matajiri

10.Kituko kingine hiki,tangu lini mkaanza kusoma muache kuvua dagaa? Leta orodha ya Vyuo Vikuu tulinganishe.

11.-14 Umeandika pumba

15.Tuna Uyole,Mbalizi nk,weka hapa Suburb zenu za maana kuzidi hizo

16,17,19 umeandika pumba.

18.Mwanza hakuna hata Chuo Kikuu chenye hadhi ,Mbeya viko zaidi ya 4 πŸ€ͺπŸ€ͺ

19-23 umeandika pumba ,Mbeya per Capita ni 4.4,,Mwanza ni 3.2 harafu unasemaje?

Tumia akili wewe kilaza.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==
 
Wewe punguani nimekuuliza nitajie Jiji ambalo hakina slums tukianza na hivyo Vijiji uchwara ambavyo vinakupa wenge.

Pili nakuambia tena ,tofari ya udongo ya Mbeya Ina binder nyingi sana ndio maana huwezi sikia nyumba imeanguka,ule udongo una cement ya kutosha ndio maana Kuna kiwanda Cha saruji pale,ukifyatua ukachoma tofari inakuwa biskuti tofauti na ikiwa mbichi,usilingamishe na upuuzi wa kwenu Kasulu.

Mwisho Mbeya is here to stay ,Bado hujasema Hadi usemeπŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAFu4BrqbED/?igsh=MXcxajRqaGl2cXE3MQ==

Mbona povu ,relax brother kuifananisha mbeya na Mwanza au Arusha ni ku prove kiasi gani Akili yako imefungwa.Mwanza kaizidi Kila kitu mbeya tena mbali sana.Nenda siku Moja Mwanza ukatembee usibishane Kwa Mwanza uliyohadithiwa ..nenda kajionee Kwa macho yako ndio uje kuropoka hapa.Mwanza mji msafi ,majengo masafi miundo mbinu ya maana ,facilities za kutosha..njoo mbeya Sasa,vumbi Kila mahali,nyumba zimejengwa hovyo hovyo na nyingi ni chafu Kwa sababu ya kujengwa na matofali mabichi.Kiufupi nyumba nyingi mbeya hazivutii.Ukiona mtu anasupport ujenzi wa matofali mabichi jua kabisa huyo mtu alistahili kuishi zama za kale za mawe.
 
Mbona povu ,relax brother kuifananisha mbeya na Mwanza au Arusha ni ku prove kiasi gani Akili yako imefungwa.Mwanza kaizidi Kila kitu mbeya tena mbali sana.Nenda siku Moja Mwanza ukatembee usibishane Kwa Mwanza uliyohadithiwa ..nenda kajionee Kwa macho yako ndio uje kuropoka hapa.Mwanza mji msafi ,majengo masafi miundo mbinu ya maana ,facilities za kutosha..njoo mbeya Sasa,vumbi Kila mahali,nyumba zimejengwa hovyo hovyo na nyingi ni chafu Kwa sababu ya kujengwa na matofali mabichi.Kiufupi nyumba nyingi mbeya hazivutii.Ukiona mtu anasupport ujenzi wa matofali mabichi jua kabisa huyo mtu alistahili kuishi zama za kale za mawe.
Wewe ni kopo ,hakuna Mji sijafika kama sio kuishi kati hiyo inayokupa wenge.

Njia ya kwenda Airport Mwanza yote inanuka shombo ya Samaki harafu unaongea ujinga hapa,unadhaymimi ni mshamba kama wewe?

Narudia tena kukwambia hakuna Jiji uchwara lolote la kuzidi Mbeya ,respect ni Kwa Dom na Arusha nayo Kwa hoteli tuu.

Na Kwa taarifa Yako tuu Barabara ya kwenda Ruaha NP,Viwanja 2 vya ndege vinavyojengwa hifadhini vitaongeza ndege kubwa kuja Mbeya hivyo Utalii ambao watu wa Arusha wanalingia utakuja na Kusini.

Nje ya hapo hakuna kitu Arusha,mwaka Jana tuu hapo tumefikisha Abiria 100k Songwe Airport,hizi figures hazikuwepo kabla πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==

Endelea kukariri maisha Kwa ujinga wa kusimuliana vijiweni πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAEoOjMNOrZ/?igsh=bXQxejNnbHBsNHo2

Mbeya pekee Ina vivutio vya Utalii hakuna Mkoa wa kufika hapa Tanzania πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAEHsMvNny4/?igsh=MWs4aTdvMzZtNTRtNA==
 
Wewe ni kopo ,hakuna Mji sijafika kama sio kuishi kati hiyo inayokupa wenge.

Njia ya kwenda Airport Mwanza yote inanuka shombo ya Samaki harafu unaongea ujinga hapa,unadhaymimi ni mshamba kama wewe?

Narudia tena kukwambia hakuna Jiji uchwara lolote la kuzidi Mbeya ,respect ni Kwa Dom na Arusha nayo Kwa hoteli tuu.

Na Kwa taarifa Yako tuu Barabara ya kwenda Ruaha NP,Viwanja 2 vya ndege vinavyojengwa hifadhini vitaongeza ndege kubwa kuja Mbeya hivyo Utalii ambao watu wa Arusha wanalingia utakuja na Kusini.

Nje ya hapo hakuna kitu Arusha,mwaka Jana tuu hapo tumefikisha Abiria 100k Songwe Airport,hizi figures hazikuwepo kabla πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==

Endelea kukariri maisha Kwa ujinga wa kusimuliana vijiweni πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAEoOjMNOrZ/?igsh=bXQxejNnbHBsNHo2

Mbeya pekee Ina vivutio vya Utalii hakuna Mkoa wa kufika hapa Tanzania πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAEHsMvNny4/?igsh=MWs4aTdvMzZtNTRtNA==

Tatizo umetawaliwa na ushabiki wa mkoa wako hautaki kukubaliana na uhalisia.Yaani unachofanya ni kulazimisha Vitz ivute scania.
 
1.Kwa hoteli si tukianza ku post ukakimbia wewe? Mwanza haiwezi kumshinda Mbeya Kwa chochote zaidi ya Umaskini.

Arusha tuu ndio anaweza babaisha Mbeya kwenye Hoteli.

2.Private hospitals nilikuwa wa kwanza ku post nikasema leta ukakimbia πŸ˜†πŸ˜†

3.Lami gani mlizonazo nyie za kuzidi Mbeya? Hapa kwenye Lami Dom tuu ndio anaweza babaisha Mbeya

4.Mwanza Kuna viwanda kuzidi Mbeya? Tumia akili basi.

5.Shule imezaliwa Mbeya ,huko Mwanza is Slum mlianza lini kusoma nyie?

6.Hapa Mwanza Mnatuzidi Mbeya idadi ya watu maskini

7.Mpira wenyewe hamjui,tuna Timu 3 Ligi kuu ,Mwanza Ina katimu 1 ka mbeleko ya siasa πŸ˜†πŸ˜†

8.Kuwa na aibu,Mwanza Kuna uwanja wa ndege kweli wa kulinganisha na Songwe Airport? Kichekesho 🀣🀣

9.Majengo ya mbeleko ya serikali ,Mbeya Kuna majengo ya matajiri

10.Kituko kingine hiki,tangu lini mkaanza kusoma muache kuvua dagaa? Leta orodha ya Vyuo Vikuu tulinganishe.

11.-14 Umeandika pumba

15.Tuna Uyole,Mbalizi nk,weka hapa Suburb zenu za maana kuzidi hizo

16,17,19 umeandika pumba.

18.Mwanza hakuna hata Chuo Kikuu chenye hadhi ,Mbeya viko zaidi ya 4 πŸ€ͺπŸ€ͺ

19-23 umeandika pumba ,Mbeya per Capita ni 4.4,,Mwanza ni 3.2 harafu unasemaje?

Tumia akili wewe kilaza.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==

1000254338.jpg

Mbeya hii au kuna nyingine
 
1.Kwa hoteli si tukianza ku post ukakimbia wewe? Mwanza haiwezi kumshinda Mbeya Kwa chochote zaidi ya Umaskini.

Arusha tuu ndio anaweza babaisha Mbeya kwenye Hoteli.

2.Private hospitals nilikuwa wa kwanza ku post nikasema leta ukakimbia πŸ˜†πŸ˜†

3.Lami gani mlizonazo nyie za kuzidi Mbeya? Hapa kwenye Lami Dom tuu ndio anaweza babaisha Mbeya

4.Mwanza Kuna viwanda kuzidi Mbeya? Tumia akili basi.

5.Shule imezaliwa Mbeya ,huko Mwanza is Slum mlianza lini kusoma nyie?

6.Hapa Mwanza Mnatuzidi Mbeya idadi ya watu maskini

7.Mpira wenyewe hamjui,tuna Timu 3 Ligi kuu ,Mwanza Ina katimu 1 ka mbeleko ya siasa πŸ˜†πŸ˜†

8.Kuwa na aibu,Mwanza Kuna uwanja wa ndege kweli wa kulinganisha na Songwe Airport? Kichekesho 🀣🀣

9.Majengo ya mbeleko ya serikali ,Mbeya Kuna majengo ya matajiri

10.Kituko kingine hiki,tangu lini mkaanza kusoma muache kuvua dagaa? Leta orodha ya Vyuo Vikuu tulinganishe.

11.-14 Umeandika pumba

15.Tuna Uyole,Mbalizi nk,weka hapa Suburb zenu za maana kuzidi hizo

16,17,19 umeandika pumba.

18.Mwanza hakuna hata Chuo Kikuu chenye hadhi ,Mbeya viko zaidi ya 4 πŸ€ͺπŸ€ͺ

19-23 umeandika pumba ,Mbeya per Capita ni 4.4,,Mwanza ni 3.2 harafu unasemaje?

Tumia akili wewe kilaza.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==

1000254337.jpg

Mjini kati
 
View attachment 3100630
Hili jengo unaloliona ni royal Hospital lipo maeneo ya Ghana bado ujenzi unaendelea
View attachment 3100635
Jengo la hospital ya kamanga ujenzi unaendelea
Nyie watu wababaishaji sana ,Kila Jengo ni hospital harafu ujenzi unaendelea πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†

Kwani zilizokamilika hazipo? πŸ˜‚πŸ˜‚

Mbeya Zonala Hospital πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/CpsM9WhNA33/?igsh=bW1xYXJwcGZ1bzBh
Screenshot_20240920-085919.jpg
Screenshot_20240920-085653.jpg
 
1.Kwa hoteli si tukianza ku post ukakimbia wewe? Mwanza haiwezi kumshinda Mbeya Kwa chochote zaidi ya Umaskini.

Arusha tuu ndio anaweza babaisha Mbeya kwenye Hoteli.

2.Private hospitals nilikuwa wa kwanza ku post nikasema leta ukakimbia πŸ˜†πŸ˜†

3.Lami gani mlizonazo nyie za kuzidi Mbeya? Hapa kwenye Lami Dom tuu ndio anaweza babaisha Mbeya

4.Mwanza Kuna viwanda kuzidi Mbeya? Tumia akili basi.

5.Shule imezaliwa Mbeya ,huko Mwanza is Slum mlianza lini kusoma nyie?

6.Hapa Mwanza Mnatuzidi Mbeya idadi ya watu maskini

7.Mpira wenyewe hamjui,tuna Timu 3 Ligi kuu ,Mwanza Ina katimu 1 ka mbeleko ya siasa πŸ˜†πŸ˜†

8.Kuwa na aibu,Mwanza Kuna uwanja wa ndege kweli wa kulinganisha na Songwe Airport? Kichekesho 🀣🀣

9.Majengo ya mbeleko ya serikali ,Mbeya Kuna majengo ya matajiri

10.Kituko kingine hiki,tangu lini mkaanza kusoma muache kuvua dagaa? Leta orodha ya Vyuo Vikuu tulinganishe.

11.-14 Umeandika pumba

15.Tuna Uyole,Mbalizi nk,weka hapa Suburb zenu za maana kuzidi hizo

16,17,19 umeandika pumba.

18.Mwanza hakuna hata Chuo Kikuu chenye hadhi ,Mbeya viko zaidi ya 4 πŸ€ͺπŸ€ͺ

19-23 umeandika pumba ,Mbeya per Capita ni 4.4,,Mwanza ni 3.2 harafu unasemaje?

Tumia akili wewe kilaza.πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAF_FmINKKG/?igsh=MWhsZTE5eDBpdjk3aw==

Kanye sasa, umejamba sana.
 
Back
Top Bottom