Mbeya: Hakimu wa Mahakama ya Wilaya auawa kwa kipigo kutoka kwa Wananchi wenye hasira kali

Dah! Tukio Hilo nalifananisha na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa Mwanza ndg Mabina, Cha muhimu tuache kiburi cha wadhifa, cheo au ukwasi kuonea wengine.
Yaanih umepiga mlemle, nilipokua nikisoma nilikua napata picha ya Mabina tuu.
 
Sio ajabu Kuna mgosi alikua amepania kumfunga kule Handeni. Mgosi akaenda kwa wataalam (Kama kawaida Yao) mtaalam akasakizia kifo mbaya wa mgosi na kumuambia ' huyu harudi Handeni Tena.
Handeni isikie kwenye redio tu.
 
Niwaonye tu wenye mwelekeo wa kibwanyenye kwamba watanzania hawataki dhuluma za ardhi. Ukiwa unaamini awamu hii ataweza kuwadhulumu wanakijiji ardhi yao fikiria tena.
 
Unajiamini kwa watu wa kijijini wenye umoja watakuua hao.
Picha linaanza angeanza kwa kuangalia kwenye huo mgogoro ni wananchi wangapi walikua wakijitokeza mahakamani. Kama ni wengi angeufyata tu maana wakiwa na umoja hao chuki yao hurithisha vizazi na vizazi.
 
Hakimu hakuheshimu hukumu iliyotolewa na mahakama ikiwa yeye ni expert katika masuala ya kesi na sheria....alale anapostahili
Alifanyaje kwani zaidi ya kuchimbachimba sijui dawa, wangemuacha achimbe hizo dawa aondoke zake
 
Kosa la hakimu hapo ni kuchimbachimba au? Sioni sehemu kama alivunua sheria yoyote
 
Kushindwa kwake ilikuwa halali ndio maana akaona atumie ndumba kupindua mambo. Angejua hata bastola hangeitoa.
.
 
Alifanyaje kwani zaidi ya kuchimbachimba sijui dawa, wangemuacha achimbe hizo dawa aondoke zake
Kwanini aende kuchimbachimba katika ardhi ambayo si yake tena ardhi iliyo na mgogoro ambayo yeye anahusika?
 
Alienda kufanaya nini teena, wakati angesubiri rufaa. Kwanini achimbe chimbe au bastola aliiona dili kwake?
 
Alafu ulichosema ni kweli kabisa,Watu waliosomea Sheria Wana viburi sana na kujisikia, kuliko hata ma engineer au ma doctor wenye taaluma ngumu!!
 
Uzuri wa watu wa mbeya huwezi kumuonea alafu akakaa kinyonge
 
Kuna tofauti Kati ya KUSOMA na KUELIMIKA sasa mtu ambaye ni mwanasheria kitaaluma anaposhindwa kuheshimu maamuzi ya mahakama huyo kasoma ila hajaelimika
Elimu haitoi ubinaadam mkuu, huyo ni munyama mwenye elimu.Si umesikia na risasi zilikuwemo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…