Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Upo sahihi snHili liko wazi.
Lakini tusubirie matobo ya hukumu tupate hoja mpya...kuipiga serikali ya kifisafi na mahakama dhaifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi snHili liko wazi.
Lakini tusubirie matobo ya hukumu tupate hoja mpya...kuipiga serikali ya kifisafi na mahakama dhaifu
Leo watatenda HAKI labda.Hatuna mahakama tuna matawi ya CCM pekee
Never on earthLeo watatenda HAKI labda.
Mtikila ameishinda sirikali mara nyingi sana ingawa HUKUMU hazikutekelezwa,Never on earth
Mwendazake aliziharibu sn hizi mahakama mpk zinaonekana kama vituko tupuMtikila ameishinda sirikali mara nyingi sana ingawa HUKUMU hazikutekelezwa,
Mahakama itoe tu HAKI, iwambie dude Hilo ni FAKE na BATILI,ibaki kwao kuliacha au kulikumbatia.
CCM imepanga (huku ikiamini kuwa kesi hiyo itashindwa) kutumia Hukumu hiyo ya Mbeya kuwanyamazisha watanzania na kuishauri Serikali kuendelea na utekelezaji wa mkataba huo tata wa DP World. Nyaraka za madokezo ya kichama nilizoziona zinaonesha kuwa CCM inaisubiri kwa hamu hukumu ya leo.[emoji848][emoji3064][emoji848][emoji3064]Leo, Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya inatarajiwa kutoa Uamuzi/Hukumu yake juu ya kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wanaharakati wanaohoji uhalali wa Mkataba wa Ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai kupitia kampuni ya DP World.
Kuanzia Makao Makuu ya CCM Dodoma na Ofisi zake zote mikoani, CCM imeelekeza macho na masikio yake Mbeya. Amini nawaambia, kadiri ya mipango isiyo na viwango iliyopangwa na chama hiki tawala, Hukumu ya kesi ya Mbeya imebaki kama tumaini la mwisho kuhusiana na mkataba wa DP World.
CCM imepanga (huku ikiamini kuwa kesi hiyo itashindwa) kutumia Hukumu hiyo ya Mbeya kuwanyamazisha watanzania na kuishauri Serikali kuendelea na utekelezaji wa mkataba huo tata wa DP World. Nyaraka za madokezo ya kichama nilizoziona zinaonesha kuwa CCM inaisubiri kwa hamu hukumu ya leo.
Mipango hiyo ya CCM inaonesha kuwa Hukumu ya Mbeya itatumika kama fimbo na kizibo cha kuwachapa na kuwaziba wakosoaji wa mkataba huo wa DP World. Kwa maana nyingine, CCM inaamini kuwa suala la DP World linahitimishwa leo kupitia Hukumu ya Makahama Kuu ya Mbeya.
Nakitahadharisha na kukiambia chama changu, Hukumu ya Mbeya haitahitimisha jambo hili kwa wanaharakati kushinda au kushindwa kwenye kesi hiyo. Mwisho wa ukosoaji wa mkataba wa DP World ni kwa Serikali kuachana na mkataba huo tata kwakuwa watanzania wameukataa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Labda wapige kalenda HUKUMU,Tungojeee tusikie wakuu
CCM hawajawahi kushindwa kesi kama hizi. Wote tunajua matokeo na Mwambukusi walishajua hayo kabla ya kesi. Ila hiyo hukumu litazidi kuthibitisha kile alichokisema Rostam kuhusu mahakama zetu.Leo, Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya inatarajiwa kutoa Uamuzi/Hukumu yake juu ya kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wanaharakati wanaohoji uhalali wa Mkataba wa Ukodishwaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai kupitia kampuni ya DP World.
Kuanzia Makao Makuu ya CCM Dodoma na Ofisi zake zote mikoani, CCM imeelekeza macho na masikio yake Mbeya. Amini nawaambia, kadiri ya mipango isiyo na viwango iliyopangwa na chama hiki tawala, Hukumu ya kesi ya Mbeya imebaki kama tumaini la mwisho kuhusiana na mkataba wa DP World.
CCM imepanga (huku ikiamini kuwa kesi hiyo itashindwa) kutumia Hukumu hiyo ya Mbeya kuwanyamazisha watanzania na kuishauri Serikali kuendelea na utekelezaji wa mkataba huo tata wa DP World. Nyaraka za madokezo ya kichama nilizoziona zinaonesha kuwa CCM inaisubiri kwa hamu hukumu ya leo.
Mipango hiyo ya CCM inaonesha kuwa Hukumu ya Mbeya itatumika kama fimbo na kizibo cha kuwachapa na kuwaziba wakosoaji wa mkataba huo wa DP World. Kwa maana nyingine, CCM inaamini kuwa suala la DP World linahitimishwa leo kupitia Hukumu ya Makahama Kuu ya Mbeya.
Nakitahadharisha na kukiambia chama changu, Hukumu ya Mbeya haitahitimisha jambo hili kwa wanaharakati kushinda au kushindwa kwenye kesi hiyo. Mwisho wa ukosoaji wa mkataba wa DP World ni kwa Serikali kuachana na mkataba huo tata kwakuwa watanzania wameukataa.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Issue ya bandari ni kubwa, tusichukulie kawaida.Siku ya Historia! Kama Muhinili utakubali kujiabiasha au lah
Alikuwa ana makele sana kuhusu hii kesi ghafla kimya.
📌📌....Mwisho wa ukosoaji wa mkataba wa DP World ni kwa Serikali kuachana na mkataba huo tata kwakuwa watanzania wameukataa.