Mbeya: Hukumu kesi ya kupinga mkataba kuhitimisha mjadala wa DP World

Mbeya: Hukumu kesi ya kupinga mkataba kuhitimisha mjadala wa DP World

Mahakama huwa zinasubiri maelekezo
Mahakama hazipo huru?Yule.Mama Dean amemshushua Mama Samia kwamba uteuzi wake kwa kumuongezea jaji Mkuu Juma ulikuwa batili na still yupo Ofisini.

Au mkishinda ninyi mahakama uwa huru mkishindwa mahakama sio huru.

Kada wa Chadema Nyagali Mdude alishinda kesi dhidi ya Serikali na Mahakama kumuachia huru lakini Serikali haikusema Mahakama sio huru.

Akili za Chadema ni matope aisee.Subilini matokeo na mkubali matokeo.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Sisi tunachojua ilishatupwa nje hata kabla haijasikilizwa! Siyo kwa mahakama hizi hizi za serikali ya CCM!
 
Back
Top Bottom