Michael Uledi
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 132
- 323
Mahakama hazipo huru?Yule.Mama Dean amemshushua Mama Samia kwamba uteuzi wake kwa kumuongezea jaji Mkuu Juma ulikuwa batili na still yupo Ofisini.Mahakama huwa zinasubiri maelekezo
Kutoka wapi boss?
Nauliza nijue
@=109263 Sijaona maoni yako juu ya sakata la IGA kati ya Tanzania na Dubai.Huyu Erythrocyte mbona yuko kimya?
Kwa hiyo wewe ni Erythocyte au?@=109263 Sijaona maoni yako juu ya sakata la IGA kati ya Tanzania na Dubai.
Sikupaswa kukuuliza maoni yako?Kwa hiyo wewe ni Erythocyte au?
Una kimbelembele.Sikupaswa kukuuliza maoni yako?
Kawaida tu sema umepanick KakaUna kimbelembele.
Sijapanick; sema lingine.Kawaida tu sema umepanick Kaka
Kwani wewe ni Erythrocyte?
Bro naomba ufungue pm ninahitaji msaada wako[emoji120]
Sijui.
Muulize rostam AzizKutoka wapi boss?
Nauliza nijue
Muulize rostam Aziz
Sijui.
Hata sijui.