Sijui kitu.
Hata wewe.
Hukumu ipo wapi wewe Leta hapa tuione leo so ndio imetokaSijui kitu.
Tumzike? π
Nasikia imeahirishwa hadi sijui lini huko.Hukumu ipo wapi wewe Leta hapa tuione leo so ndio imetoka
Kwanza tukuzike wewe ambaye unauliza maswali yasiyo ya msingi.
Mimi niko kuzimu tayariKwanza tukuzike wewe ambaye unauliza maswali yasiyo ya msingi.
Mimi niko kuzimu tayariKwanza tukuzike wewe ambaye unauliza maswali yasiyo ya msingi.
Unataka umzike kafanya niniKwanza tukuzike wewe ambaye unauliza maswali yasiyo ya msingi.
ππππ€’π
Nitakuja kukutembelea; tulia hapo hapo.
Sijui.Unataka umzike kafanya nini
Kashafika kuzimuSijui.
Shauri yake.Kashafika kuzimu
Tatizo mahakama hazipo huru kesi itaahirishwa
.Labda wapige kalenda HUKUMU,
Lakini hawana pa Kutokea sirikali!!