Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni ziwa au dimbwi?
Mtaa wa Kanisa ndio homeOngeza nyama nyama mkuu kuna vingi hujavieleza... Nimekaa hapa kwa Sokomatola nafuatilia huu uzi
Kisibha
Dimbwi kwa vigezo vipi?Hili ni ziwa au dimbwi?
Au siku hizi mi ndio sielewi maana na vigezo vya ziwa?
Labda Eden HazardMsimu huu wa mvua zikiwa peak kila pahala ni pazuri nchini. Piteni vilima vya Nyang'oro muone panavyopendeza! Kuna uwezekano Eden ilikuwa hapo!
Mauno feniMambo matamu, njoo Tanga
Mitaala imebadilishwa bro!Hili ni ziwa au dimbwi?
Au siku hizi mi ndio sielewi maana na vigezo vya ziwa?
Asante kwa maboreshoKisibha
Udogo wake ambao unafanya ionekane kama kimbotela tuDimbwi kwa vigezo vipi?
Mbona kukame sanaView attachment 2484067wale wa kondoa kaskazini
Hilo mnaloliita Ziwa ukiliangalia kwa macho hata upana wa mita 100 halifikiMitaala imebadilishwa bro!
Hii ipo Tanzania?
Mlinganisho. Huko kwa wenzetu wameita pond, walimu wa UPE wanasema lakeHii ipo Tanzania?
Maji ni changamoto sana kipande hichoView attachment 2484067wale wa kondoa kaskazini
Kwa bwawa nakubaliana nao ila kuita ziwa ni ulaghai wa wazi kabisaMlinganisho. Huko kwa wenzetu wameita pond, walimu wa UPE wanasema lake
Kwanini Mtera ni bwawa na haliitwi ziwa?Kwa bwawa nakubaliana nao ila kuita ziwa ni ulaghai wa wazi kabisa
Nimepiga mwezi huu mwanzoniMbona kukame sana
Unahakika hii picha ilipigwa kifuku?
Au ukame ndio kivutio chenyewe?