Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

IMG-20211125-WA0005.jpg
 
Mbeya ndiyo nyumbani kwa Mlima Rungwe. Mlima Rungwe ndio chanzo cha mito 12 inayopita Busokelo na Rungwe kwenda ziwa Nyasa. Uhai wa ziwa Nyasa hutegema sana ekolojia ya mlima Rungwe na safu za milima ya Livingston
View attachment 2484036



Kwenye huu mtermko nimefurahi sana kupaona.
-Kulia kwa hii road ni shule ya sekondari lufilyo
-nyuma kidogo kushoto nyumambani kwa prof.mark.
-ukienda mbele kidogo kuna mto ukivuka kuna kijiji cha lufilyo.

kokoa,maembe,parachichi,ndizi na vyakula vya kila aina vipo hapo. Hali ya hewa nzuri pia.

Natamani kama umri ungekuwa unarudi nyuma ningerudisha nikasome tena LUFILYO HIGH SCHOOL.
 
-Kulia kwa hii road ni shule ya sekondari lufilyo
-nyuma kidogo kushoto nyumambani kwa prof.mark.
-ukienda mbele kidogo kuna mto ukivuka kuna kijiji cha lufilyo.

kokoa,maembe,parachichi,ndizi na vyakula vya kila aina vipo hapo. Hali ya hewa nzuri pia.

Natamani kama umri ungekuwa unarudi nyuma ningerudisha nikasome tena LUFILYO HIGH SCHOOL.
Ila wanyakyusa hilo jina la shule
 
Beetroot mzee, kama mkeo ni mjamzito, na unataka azae mtoto copyright na wewe, mlishe hizi mambo, zinaongeza sana damu
Hahahaaa hii nadhani inaingia kwenye myths sidhani kama ina ukweli wowote uliothibitishwa kisayansi
 
Back
Top Bottom