Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Maji yapo ya kutosha visima,chemchem pia kuna mto mkubwa sana umepita kutokea milima ya daredaMaji ni changamoto sana kipande hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji yapo ya kutosha visima,chemchem pia kuna mto mkubwa sana umepita kutokea milima ya daredaMaji ni changamoto sana kipande hicho
Watasema kwasababu halijazungukwa na msituKwanini Mtera ni bwawa na haliitwi ziwa?
Nakujua huko, ufukara umetamalaki. Vitoto vizuriiii vya kiislamu, ukivipa buku mbili vinakuona bonge ya DonNimepiga mwezi huu mwanzoni
Basi kukame mzee au kipindi hiki huko kifuku sio msimu wake?Nimepiga mwezi huu mwanzoni
Mvua sasa zinanyesha kwa kiasi chakeBasi kukame mzee au kipindi hiki huko kifuku sio msimu wake?
Ofcourse upo sahihi.Nakujua huko, ufukara umetamalaki. Vitoto vizuriiii vya kiislamu, ukivipa buku mbili vinakuona bonge ya Don
Kama Dar tu ila huko ukanda wa kuanzia Dodoma na mipani mwake naskia kuna ukame ukameMvua sasa zinanyesha kwa kiasi chake
-Kulia kwa hii road ni shule ya sekondari lufilyoMbeya ndiyo nyumbani kwa Mlima Rungwe. Mlima Rungwe ndio chanzo cha mito 12 inayopita Busokelo na Rungwe kwenda ziwa Nyasa. Uhai wa ziwa Nyasa hutegema sana ekolojia ya mlima Rungwe na safu za milima ya Livingston
View attachment 2484036
Kwenye huu mtermko nimefurahi sana kupaona.
Vinini hivi?
Matunda damu poriVinini hivi?
Ila wanyakyusa hilo jina la shule-Kulia kwa hii road ni shule ya sekondari lufilyo
-nyuma kidogo kushoto nyumambani kwa prof.mark.
-ukienda mbele kidogo kuna mto ukivuka kuna kijiji cha lufilyo.
kokoa,maembe,parachichi,ndizi na vyakula vya kila aina vipo hapo. Hali ya hewa nzuri pia.
Natamani kama umri ungekuwa unarudi nyuma ningerudisha nikasome tena LUFILYO HIGH SCHOOL.
Beetroot mzee, kama mkeo ni mjamzito, na unataka azae mtoto copyright na wewe, mlishe hizi mambo, zinaongeza sana damuVinini hivi?
Nikweli huku ni pakame sana,kiangazi kirefu sana kuliko masikaKama Dar tu ila huko ukanda wa kuanzia Dodoma na mipani mwake naskia kuna ukame ukame
Daah hivi hayo ya pori yana utofauti na haya tunayouziwa huku mitaani?Matunda damu pori
Ila uzuri wa Mungu ni kwamba, sehemu hata iweje, mademu hawakosekaniNikweli huku ni pakame sana,kiangazi kirefu sana kuliko masika
Tofauti haya magumu kidogo na ladha kidogo zinatofautianaDaah hivi hayo ya pori yana utofauti na haya tunayouziwa huku mitaani?
Hahahaaa hii nadhani inaingia kwenye myths sidhani kama ina ukweli wowote uliothibitishwa kisayansiBeetroot mzee, kama mkeo ni mjamzito, na unataka azae mtoto copyright na wewe, mlishe hizi mambo, zinaongeza sana damu
NomaIla wanyakyusa hilo jina la shule
Ecosystems hiyoIla uzuri wa Mungu ni kwamba, sehemu hata iweje, mademu hawakosekani