Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

1673908091671.png
 
Mbeya ni mkoa uliobarikiwa kwa baraka za mwilini na baraka za rohoni. Mbeya ni njema atakaye na aje.

Mbeya ndio mkoa ambao umekuwa ukiongoza kutoa timu nyingi zaidi zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Miongoni mwao ni Tukuyu Stars (Banyambala), Mecco, Tiger, Mbeya City, Mbeya Kwanza na Ihefu.
View attachment 2484020
.

Mkoa wa Mbeya umekuwa mchangiaji mkubwa wa chakula nchini. Mchele, mahindi, ndizi, Makatapera (parachichi), viazi na vitu vingine vizuri mdomoni na mwilini hutoka Mbeya.
View attachment 2484021


Mbeya ndio nyumbani kwa wasanii, kuanzia wanamuziki, waigizaji, magwiji wa mitindo, urembo, uchekeshaji na vipaji paji vingine vingi, Mbeya is the Best.

Kwa vivutio vya utalii ndio usiseme, Mbeya is the best place to be. Barabara iliyopita kwenye mwinuko wa juu kabisa barani Africa iko Mbeya.

Mbeya kuna uoyo mzuri wa asili, hebu angalia hii mandhari ya Mlima Mbeya (Mbeya Peak)
View attachment 2484032 hakika ukifika, hutotamani kuondoka.

Mbeya ndiyo nyumbani kwa Mlima Rungwe. Mlima Rungwe ndio chanzo cha mito 12 inayopita Busokelo na Rungwe kwenda ziwa Nyasa. Uhai wa ziwa Nyasa hutegema sana ekolojia ya mlima Rungwe na safu za milima ya Livingston
View attachment 2484036

Mlima Rungwe kwenye background
View attachment 2484037
Umetisha mkuu!
 
Mzee mwandosya na mbeya yake leo naona umeamua kuipa promo mbeya nyumbani kwenu
 
Mbeya ni mkoa uliobarikiwa kwa baraka za mwilini na baraka za rohoni. Mbeya ni njema atakaye na aje.

Mbeya ndio mkoa ambao umekuwa ukiongoza kutoa timu nyingi zaidi zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Miongoni mwao ni Tukuyu Stars (Banyambala), Mecco, Tiger, Mbeya City, Mbeya Kwanza na Ihefu.
View attachment 2484020
.

Mkoa wa Mbeya umekuwa mchangiaji mkubwa wa chakula nchini. Mchele, mahindi, ndizi, Makatapera (parachichi), viazi na vitu vingine vizuri mdomoni na mwilini hutoka Mbeya.
View attachment 2484021


Mbeya ndio nyumbani kwa wasanii, kuanzia wanamuziki, waigizaji, magwiji wa mitindo, urembo, uchekeshaji na vipaji paji vingine vingi, Mbeya is the Best.

Kwa vivutio vya utalii ndio usiseme, Mbeya is the best place to be. Barabara iliyopita kwenye mwinuko wa juu kabisa barani Africa iko Mbeya.

Mbeya kuna uoyo mzuri wa asili, hebu angalia hii mandhari ya Mlima Mbeya (Mbeya Peak)
View attachment 2484032 hakika ukifika, hutotamani kuondoka.

Mbeya ndiyo nyumbani kwa Mlima Rungwe. Mlima Rungwe ndio chanzo cha mito 12 inayopita Busokelo na Rungwe kwenda ziwa Nyasa. Uhai wa ziwa Nyasa hutegema sana ekolojia ya mlima Rungwe na safu za milima ya Livingston
View attachment 2484036

Mlima Rungwe kwenye background
View attachment 2484037
Bila ya parachichi la mbeya buji huu uzi ni batili
 
Back
Top Bottom