Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

Kuna sababu nyingi. Kwenye miji mikubwa huwa hivyo. Hata Dar wazaramo wanakimbia mjini. Wagogo huwakuti Dodoma mjini. Miji kama Arusha na Mwanza utakuta wenyeji mjini kati wachache sana. Nenda Moro utakuta Waluguru wanakimbilia pembezoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…