IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,226
- 1,919
Sheria za kijinga....watu wanakusanyana kupiga soga, kushiriki michezo na mambo ya kijamii. Sheria inatumika dhidi ya kundi moja tu la siasa kwasababu ni sheria ya kijingaHakuna kitu kama hicho. Wadanganye mbumbumbu.
Sheria inasema kuwa kwaajili mikusanyiko ya mikutano ya hadhara au maandamano, chama husika KITATOA TAARIFA POLISI angalao masaa 48 kabla kwa mkuu wa Polisi wa wilaya husika. Naye atatakiwa kuandaa ulinzi kwaajil ya kuhakikisha kuna usalama.
Siyo kila kusanyiko unahitajika kuwataarifu polisi.
Siyo mmekutana tu watu 20 kwaajili ya kusukuma gari lililokwama, eti unahitajika kutoa taarifa Polisi.
https://policehumanrightsresources....e-Force-and-Auxiliary-Services-Act.pdf?x96812Weka nukuu yake hapa. Mnaongea upuuzi tu. Hakuna sheria inayosema kila kusanyiko lazima upate kibali cha Polisi. Hakuna, nina uhakika. Kama kweli ipo, weka hapa kila mmoja aione.
And what was the public reaction at gate when they were asked to disperse themselves peacefully?Police need not raise voice unnecessary and create a stand off....they have all the powers. When civilised will know that all the powers they have have been vested to them by the same people they stand down as the video shows.
Kuna sheria yoyote anavunja?Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.
Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative, iliyokosa staha na si lugha ya kiaskari. Ata mabosi wake wakitetea lugha wananchi tutashangaa.
The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.
Police force and auxiliary services act 2002 👇Kuna sheria yoyote anavunja?
Come on...do you buy those ridiculous excuses to disperse a handful of people chanting their leader??? My friend that kind of policemen are sources of violence. When you play with people like that is just a matter of time before the react to orders from the police.And what was the public reaction when they were asked to disperse themselves peacefully?
The law demands getting police consent before you decide to gather in public area, not long ago the message was emphasised by IGP on national television and reiterated by media the next day.Come on...do you buy those ridiculous excuses to disperse a handful of people chanting their leader??? My friend that kind of policemen are sources of violence. When you play with people like that is just a matter of time before the react to orders from the police.
Mara moja nimewahi kugharamia kusafirisha mwili wa askari na familia kwa zaidi ya kilometa 1000 baada ya ofisi ya RPC kutokuwa na hela ya kununulia mafuta. Lakini siku moja baadhi ya polisi walivyonisumbua kwa ubabe tu, nikasema, hawa siyo wa kuonewa huruma.Mimi polisi hata awe ndugu yangu wa damu sitakaa
1.Nimchangie harusi
2.Sitakaa niende msiba wa polisi
3.Sitakaa nimzike
4.Sitakaa nimkope hata kama nahakika anakufa mama yake
5.Sitakaa nimpangishe
ANGALIZO: Sitakaa nivunje sheria kwenye kuwadeal ikiwemo kutowatukana ,kutowaua ,japo siwezi kuahidi sitowaombea mabaya
Ndio maana nimesema wanacheza bahati nasibu kukusanyika bila ya kibali ni kuvunja sheria sasa swala la kuamua kupuuzia au kuchukua hatua ni la OCD husika.
Na hapo kwenye hiyo clip hao wasindikizaji waliombwa kistaarabu kwanza. Lissu ni tatizo endeleeni kutetea anachoongea atawaponza watoto wa wenzake.
Kubeba silaha sio tatizo kutumia silaha isiyo ya lazima based on the level of resistance ndio tatizo...tatizo ni OCD.
..anatuma Polisi kuwakabili wananchi huku wabeba silaha nzito za kivita.
..mambo kama haya ndiyo yalisababisha mauaji ya Aquilina.
..Daudi Mwangosi aliuwawa kutokana na Polisi kutumia nguvu mahali pasipohitaji nguvu.
..Hakuna sehemu kumetokea vurugu yoyote, kwanini wao Polisi ndio wawe chanzo cha vurugu?
..kulikuwa na tatizo gani kumwambia Mh.Sugu anaruhusiwa, say watu 10 tu? Nini kingeharibika?
Kuna maneno umeongea hapo kwa kweli wazazi wana akili sana...Mara moja nimewahi kugharamia kusafirisha mwili wa askari na familia kwa zaidi ya kilometa 1000 baada ya ofisi ya RPC kutokuwa na hela ya kununulia mafuta. Lakini siku moja baadhi ya polisi walivyonisumbua kwa ubabe tu, nikasema, hawa siyo wa kuonewa huruma.
Huko Uyuhudi, enzi za Masihi kazi iliyokuwa ikijulikana kwa kuonea watu kiasi cha kuonekana ni kazi ya kishetani ilikuwa ni utoza ushuru, lakini kwa hapa kwetu na kwa nyakati zetu, ni kuwa polisi.
Wazazi inatakiwa kuomba sana isitokee laana ndani ya familia, mmojawapo kuwa polisi au mtu asyejulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafahamu kusoma na kuelewa vizuri? Wapi kwenye hiyo sheria wamesema unahitaji kibali cha Polisi?https://policehumanrightsresources....e-Force-and-Auxiliary-Services-Act.pdf?x96812
View attachment 1537265
Happy kwa maelezo zaidi fungua link soma 42-46.
Haya una akili sana wewe, nina uhakika Lissu awezi kurudia tena kusema hakuna inayozuia mikusanyiko.Unafahamu kusoma na kuelewa vizuri? Wapi kwenye hiyo sheria wamesema unahitaji kibali cha Polisi?
Kama huelewi vizuri Kiingereza ni kwamba, kifungu hicho kinasema kuwa kwa mtu anayekusudia kuandaa kusanyiko la hadhara, atatoa taarifa polisi.
Kama mimi naenda sehemu, nikafika hapo nikawakuta watu wamejazana kunisalimia au njiani wakanisimamisha kunisalimia au kunishangilia, mimi ndiyo nimeandaa hilo kusanyiko? Anayetakiwa kutoa taarifa ni aliyeandaa kusanyiko la hadhara. Na usiishie hapo tu bali unatakiwa ufahamu pia kwa tafsiri ya kisheria, nini maana ya kusanyiko la hadhara kwa kadiri sheria ilivyokusudia.
Ukienda sokoni kila siku utawakuta watu wamekusanyika, ukienda makanisani watu wamekusanyika, ukienda kwenye misiba watu wamekusanyika, ukienda stand watu wamekusanyika, ndani ya ndege au basi watu wamekusanyika - je, hao wote wanatakiwa kutoa taarifa polisi?
Tusiitumie sheria kama watu wenye uwendawazimu bali kwa kuzingatia kusudio la sheria pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubeba silaha sio tatizo kutumia silaha isiyo ya lazima based on the level of resistance ndio tatizo.
Polisi kutembea na silaha Tanzania ata sio jambo la kushangaza.
Kwa kuratibu maandamano kinyume na utaratibu, siku nyingine uwe unasoma kabla ya kuulizaEleza amekatwa kwa kosa gani.
Inawezekana mimi na wewe tukawa tunajipotosha kwa kutegemea majibu huko google
Mkuu mtu yeyote aliewahi fanya kazi ya security ata kwenye mall huko ulipo anajua how to approach a scene and appropriate amount of force to use uitaji Sirro akwambie hilo...wewe inaelekea hukumsikiliza kwa umakini IGP Sirro wakati akitolea ufafanuzi suala hili.
..wananchi waliojumuika na Mh.Sugu hawakuwa na silaha zozote zile, na wala hawakuwa na uwezo wa ku-resist, kiasi cha kulazimisha polisi kukabiliana nao wakiwa na silaha nzito za kivita tulizoziona pale.
..Polisi wetu waelewe kwamba hao wanaokwenda kuwakabili ni Watanzania wenzao.
..Na CCM pia waache kuwatumia Polisi kisiasa.
Sheria gani inayozuia watu kuambatana na mgombea?Kaenda na maandamano kuchukua fomu wakati hairuhusiwi
Asante sana. Nashukuru ndugu yangu.Kuna maneno umeongea hapo kwa kweli wazazi wana akili sana...
Uwe na jioni njema Bams