Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Hivi mtu anashindwa kwenda kuchukua form zake taratibu aondoke mpaka akusanye watu kibao aende nao?
 
Mimi polisi hata awe ndugu yangu wa damu sitakaa
1.Nimchangie harusi
2.Sitakaa niende msiba wa polisi
3.Sitakaa nimzike
4.Sitakaa nimkope hata kama nahakika anakufa mama yake
5.Sitakaa nimpangishe
ANGALIZO: Sitakaa nivunje sheria kwenye kuwadeal ikiwemo kutowatukana ,kutowaua ,japo siwezi kuahidi sitowaombea mabaya
 
Aisee tuna safari ndefu kwa kweli, Mimi sio mshabiki wa Upinzani ila inaumiza. Polisi tendeni haki, naona kama nyie ndo mtatuchafulia amani ya hii nchi. Sijapenda kwa kweli.

Lakini polisi walivyokuwa wamewapa nafasi tangu Tundu Lissu amerudi, mliwasifu sana sasa mnawachokoza tena?
 
unaweza kujikuta unakaa mahabusu mpaka uchaguzi unapita na sheria inasema marufuku kuchukuliwa form...
 
Kulikua hakuna sababu ya kutunishiana misuli, nashkuru hawakwenda mbali zaidi ya walipofikia.
 
Na Picha iko wazi. Sugu alikuwa tayari ameshakabidhi fomu zake kwa msaidizi ili kutii agizo la polisi. Mbona hao polisi hawatumii busara hata ndogo. Hapo Sugu kila dalili iko wazi ni mtiifu wa sheria, tatizo hizo lugha za Polisi.

Kama kuna maelekezo vile, hata angepigiwa simu angeenda Polisi. Uvumilivu una mwisho.

Polisi nyinyi ni sehemu ya jamii, msijisahau ndio kwanza mkoko unaalika maua.
 
Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.

Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative na sidhani kama ni lugha ya kiaskari ata mabosi wake wakisikiliza sidhani kama watakubaliana nae.

The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.
Acha kushikiwa akili. Hakuna kosa kwenda kuchukua fomu na watu! Mbona Mwakanjoka alichukua juzi Tunduma na hakukuwa na shida. Huu ni uonevu wa mchana kweupe na ninajua wana mbeya lazima walipe.

Enough is enough!!
 
Na Picha iko wazi. Sugu alikuwa tayari ameshakabidhi fomu zake kwa msaidizi ili kutii agizo la polisi. Mbona hao polisi hawatumii busara hata ndogo. Hapo Sugu kila dalili iko wazi ni mtiifu wa sheria, tatizo hizo lugha za Polisi.

Kama kuna maelekezo vile, hata angepigiwa simu angeenda Polisi. Uvumilivu una mwisho.

Polisi nyinyi ni sehemu ya jamii, msijisahau ndio kwanza mkoko unaalika maua.
Imetosha kwa kweli!! Watuue wote. Enough is enough
 
Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.

Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative, iliyokosa staha na si lugha ya kiaskari. Ata mabosi wake wakitetea lugha wananchi tutashangaa.

The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.

Sugu ana makosa gani Kwani kuna sheria inakataza watu kusindikiza mgombea kwenda kuchukua form mbona Tunduma walikuwa watu wamejaa wanamsindikiza mgombea wao inamaana kule hakuna polisi. Wacha wamuandalie mazingira ya kishinda vizuri zaidi
 
Wapinzani wanakuwa wepesi na kuokotwa Kama pamba.....hata October ni hivi hivi....CCM mserereko.
 
Back
Top Bottom