Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Mimi polisi hata awe ndugu yangu wa damu sitakaa
1.Nimchangie harusi
2.Sitakaa niende msiba wa polisi
3.Sitakaa nimzike
4.Sitakaa nimkope hata kama nahakika anakufa mama yake
5.Sitakaa nimpangishe
ANGALIZO: Sitakaa nivunje sheria kwenye kuwadeal ikiwemo kutowatukana ,kutowaua ,japo siwezi kuahidi sitowaombea mabaya
Hawa sio watu maana wanakubali kutekeleza amri zote haramu
 
Askari gani anasema "usituletee mambo ya kisenge"
Ole wao wasimpe dhamana kwa kisingizio cha usalama wake .
Hakuna sehemu nime support lugha ya askari.

Kibaya zaidi polisi wenyewe wakiangalia hiyo video hakuna sehemu Sugu was resisting arrest kitendo kinachotoa uhalali wa kutumia nguvu za kadri.

Pamoja na makosa yake Sugu alikuwa na haki ya kuhoji na alitakiwa kupewa majibu ya kisheria. Siyo yale yaliyokosa staha and that was wrong regardless of the offence.
 
Huenda wamepanga mjama wamuweke ndani mpaka muda wa kuchukua na kurejesha fomu uishe ila yule mwenye sura mbaya apite kiulaini. Who know?

Ushauri: Wakimweka ndani kwa siku mbili au tatu CHADEMA wasizubae mpeni chance mtu mwingine, CCM Mbeya hawamtaki mgombea wa CCM
 
Nina uhakika tume ya uchaguzi wataimgilia na kukemea huu uharamia wa serikali ya kishetani ya ccm
 
Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.

Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative, iliyokosa staha na si lugha ya kiaskari. Ata mabosi wake wakitetea lugha wananchi tutashangaa.

The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.

Ukijaribu kutazama unaweza kudhani alichoshauri Lisu ni kitu kibaya, lakini kiuhalisia Lisu ameshauri jambo sahihi labda kama una mpango wa kukwepa ukweli. Sio mara moja au 2 wagombea wa Cdm wamekuwa wakiporwa fomu za uchaguzi, na polisi wasiowaaminifu hutumika kwenye uchafu huo, na ushahidi upo. Kwa bahati mbaya sana wanaccm huwa hawakutani na hizi dhahama, hivyo uhayawani huu kuendelea hapa nchini. Unamtaja Lisu kama chanzo cha hiyo hali ili kubeba ajenda zako, lakini kwa makusudi kabisa unakwepa chimbuko la tatizo,ambalo linaeleweka
 
Vichwa vyenu vibovu nyie watu?

Umesema mwenyewe akidaiwa ameratibu maandamano bila taratibu.

Alafu unasema hujui sababu ni nini?

Yaani ninyi kiki ndio kila kitu?

Punguzeni usela zama zimebadilika hizi.
 
Huu uchaguzi na wasiwasi

Huu uchaguzi iwapo wapinzani wataamua kusimamia matokeo halali ya uchaguzi mauji ni lazima yatokee. Na polisi ndio wataotumika kufanya mauaji hayo.
 
Ukijaribu kutazama unaweza kudhani alichoshauri Lisu ni kitu kibaya, lakini kiuhalisia Lisu ameshauri jambo sahihi labda kama una mpango wa kukwepa ukweli. Sio mara moja au 2 wagombea wa Cdm wamekuwa wakiporwa fomu za uchaguzi, na polisi wasiowaaminifu hutumika kwenye uchafu huo, na ushahidi upo. Kwa bahati mbaya sana wanaccm huwa hawakutani na hizi dhahama, hivyo uhayawani huu kuendelea hapa nchini. Unamtaja Lisu kama chanzo cha hiyo hali ili kubeba ajenda zako, lakini kwa makusudi kabisa unakwepa chimbuko la tatizo,ambalo linaeleweka
Hayo mambo ata NEC wameyazungumzia awataki marudio ya uchaguzi wa serikali za mitaa kila mtu apewe form kuelekea uchaguzi mkuu.

Haya kiko wapi wasindikizaji walitakiwa kuwa wasaidizi lolote likitokea kwa mujibu wa Lissu kuna mtu umeona kasogea karibu na polisi wakati mwenzao anaburuzwa kwenye karandinga.

Vitu vingine ni kujitakia tu.
 
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Joseph Mbilinyi (SUGU) kwa tuhuma za kuratibu maandamano kinyume cha Sheria, tukio hilo limetokea leo alipokuwa anachukua fomu ya kuwania tiketi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya chama chake cha Chadema.

Sugu amekamatwa pamoja na wanachama wa Wengine wa CHADEMA. Baadhi ya Waliokamatwa ni Stive Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa, Katibu wa mbunge, Kasambala.

Hii imetokeaa bila kujulikana sababu, angalia.

hivi kumbe tulidanganywa "polichi ni divisheni 4 " lakini kwa huyu jamaa anavyo-ongea, "itakuwa ni wale waliopata ziro" ndio wanapelekwa huko
 
ubarinolutu,
Sasa ni dhahili kuwa Polisi wameamua kufanya Shari. Wana Mbeya hawajawai kuniangusha najua tutapata mrejesho!!!
Mwaka huu ndo mwisho wa CCM wapende wasipende
Naomba hamasisha vijana wa Mbeya mbona wamekaa kisengesenge bwana wanamuangusha Sugu police ni wachache vijana mkiamua mnaweza bwana acheni uoga wa ki senge BAVICHA amkeni bwana.
 
Back
Top Bottom