Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Hayo mambo ata NEC wameyazungumzia awataki marudio ya uchaguzi wa serikali za mitaa kila mtu apewe form kuelekea uchaguzi mkuu.

Haya kiko wapi wasindikizaji walitakiwa kuwa wasaidizi lolote likitokea kwa mujibu wa Lissu kuna mtu umeona kasogea karibu na polisi wakati mwenzao anaburuzwa kwenye karandinga.

Vitu vingine ni kujitakia tu.

Naona unakwepa ukweli, au unapindisha kwa makusudi, ama unakosa maneno sahihi ya kuweka hoja zako. Nimesema Lisu alishauri watu kwenda na wagombea wakati wa kuchukua fomu, kuepuka kuporwa fomu zao kama ilivyozoeleka. Hakuna popote aliposema watu wapambane na polisi, labda useme waliokuwa wanawapora fomu wagombea wa upinzani ni polisi, hivyo unawashangaa wananchi kutokuzuia hiyo fomu kuporwa na polisi. Ama ulitaka wananchi wapambane na polisi? Au sasa tuseme hiyo fomu ya Sugu ndio imeshaporwa na hao polisi?

Unapolazimisha kutetea uovu, ni lazima uwe na lugha za kujichanganya. Tume wanasema watu waende kuchukua fomu bila maandamano, lakini tume sio wahanga wa wagombea wa upinzani kuporwa fomu. Na kwa kiasi kikubwa wamekuwa sehemu ya hili tatizo la wagombea wa upinzani kuporwa hizo fomu, laiti wangekuwa wanatoa fomu nyingine baada ya mgombea kuporwa, hapo ungekuwa na hoja. Na hili tatizo la wagombea wa upinzani kuporwa fomu, tume na polisi ni wadau wa uchafu huo. Huu ndio ukweli, japo unafunikwa na nguvu za dola kuwa usiwekwe hadharani.
 
Kaenda na maandamano kuchukua fomu wakati hairuhusiwi
Nahisi hata ngoma za harusi zikipigwa na wapinzani mitaani zitatafsiriwa ni maandamano. Kuna tofauti kati ya maandamano na usindikizaji. Maandamano ni lazima yamalizie sehemu fulani na kupokelewa na viongozi walioratibiwa kuyapokea hayo maandamano. Ukiwauliza polisi haya maandamano yalikuwa yanapokelewa wapi hawatakujibu.
 
Hahaha anataka kuwa IGP nini?! Tusubirie vijembe vya Rais Magufuli.

Kumbe Sugu anaitisha CCM kiasihicho?!
Hatishi tu CCM Bali juu zaidi kwa sababu mtia nia ya kugombea Jimbo hilo wa Chama cha CCM ni Mtoto mpendwa wa mpendwa wetu. Vijembe lazima vitakuja ili mgombea ashinde akaendelee na juunga mkono juhudi Bungeni badala ya Ndugai.
 
Balaa hii. Yote haya ni mkuu wa mkoa aliyeapa kumuangusha Sugu.
Lakini hebu tuseme ukweli kwa nini ameenda kuchukua fomu na maandamano wakati hawaruhusiwi? Mbona wangombea urais akiwemo Msaliti Lissu hawakuenda na maandamano?? Ameyataka mwenyewe!
 
Wewe kwa akili yako timamu ni kweli hasa unaamini kama hao polisi wana sababu ya kweli ya kumchukuwa Sugu akiwa ndani ya jengo la tume akichukuwa fomu ya kugombea? Huo ustaarabu ulizaliwa Tanzania?
Kilichomletea matatizo mkusanyiko sio uchukuaji wa form.
 
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Joseph Mbilinyi (SUGU) kwa tuhuma za kuratibu maandamano kinyume cha Sheria, tukio hilo limetokea leo alipokuwa anachukua fomu ya kuwania tiketi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya chama chake cha Chadema.

Sugu amekamatwa pamoja na wanachama wa Wengine wa CHADEMA. Baadhi ya Waliokamatwa ni Stive Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa, Katibu wa mbunge, Kasambala.

Hii imetokeaa bila kujulikana sababu, angalia.

Tulia hachomoki hata mfanye vipi
 
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Joseph Mbilinyi (SUGU) kwa tuhuma za kuratibu maandamano kinyume cha Sheria, tukio hilo limetokea leo alipokuwa anachukua fomu ya kuwania tiketi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya chama chake cha Chadema.

Sugu amekamatwa pamoja na wanachama wa Wengine wa CHADEMA. Baadhi ya Waliokamatwa ni Stive Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa, Katibu wa mbunge, Kasambala.

Hii imetokeaa bila kujulikana sababu, angalia.

ucku tunaouendea hapatakucha vizuri labda wa mwachie kabla ya giza, sasa basi siyo kwa uonevu huu,yule bibi mweusi kule Mbeya kapiga kampeni miak3 bila kubughudhiwa Leo mtu kazindikizwa na wafuasi wake eti maandamano, sasa ndo mtaiona hayo maandamano
 
Naomba niulize. Polisi kweli ni binadamu kama sisi wengine au ni mashine tu zilizokuwa programmed zifate command yoyote tu bila ya kuuliza?
 
Sometimes nahisi kama hata hawa polisi wamechoshwa na ccm, sasa wanatuchokoza makusudi tuingie barabarani, ila jinsi tulivyo waoga hatufanyi chochote kuonyesha kuchukizwa..Sababu hapo hamna sababu ya kumkamata Sugu wakati hamna hata MTU m'moja aliyeleta fujo..
 
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Joseph Mbilinyi (SUGU) kwa tuhuma za kuratibu maandamano kinyume cha Sheria, tukio hilo limetokea leo alipokuwa anachukua fomu ya kuwania tiketi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya chama chake cha Chadema.

Sugu amekamatwa pamoja na wanachama wa Wengine wa CHADEMA. Baadhi ya Waliokamatwa ni Stive Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa, Katibu wa mbunge, Kasambala.

Hii imetokeaa bila kujulikana sababu, angalia.

Daaah hivi hawa polisi inakuwaje wanafanya hivi, mbona wana mtafutia ushindi kwa kura za huruma huyu mtu? muacheni tu kama alivyoachwa Lisu.
 
Kilichomletea matatizo mkusanyiko sio uchukuaji wa form.
Kwani mkusanyiko ndio maandamano? Juzi kwa Ben kulikuwa na mkusanyiko. Kwenye maharusi tunaona mikusanyiko. Night clubs kuna mikusanyiko. Are you guys OK there upstairs?

Bora hata mungemkamata siku ile aliposema mukituletea uhuni Mbeya basi ukombozi utaanza Mbeya.
 
Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.

Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative, iliyokosa staha na si lugha ya kiaskari. Ata mabosi wake wakitetea lugha wananchi tutashangaa.

The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.
Lakini sa ccm wakienda kuchukua fomu na kusindikizwa ni sawa?
Refer to mwenyekiti wao alipoenda kuchukua fomu ididioma
 
Kilichomletea matatizo mkusanyiko sio uchukuaji wa form.

Mkusanyiko siku zote unaambiwa watawanyike kabla nguvu za Dola hazijatumika.... Na sio kumkamata mmoja tu. Wangekamata wote walio kusanyika waone nguvu ya umma.


Hapo wamekosea Sana... Matumizi mabaya ya nguvu kuliko akili..
 
Back
Top Bottom