Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Aaagh mkuu acha kumzushia Banaa,Kweli Mh.RC alisema hayo?!!!!Hicho kidudumtu chenye sura mbaya roho mbaya ndicho kinachoratibu huu uchafu mbeya..... Si mnajua kimepitisha kwa kejeli kabisa eti viongozi na wasaidizi wa mihimili wanaruhusiwa kuvunja katiba bila kushitakiwa.....