Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mgogoro wa kifamilia umefanya kijana huyu kutoka Mbeya kupoteza maisha kwa kufanya maamuzi ya kujinyonga hadi kufa.
Kwakweli mambo mengi ila muda ni mchache. Apumzike
==================
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Fred Sanga (34), mkazi wa Mtaa wa Shewa, Kata ya Mwakibete, Mkoa wa Mbeya, amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ya manila na kuacha watoto watatu huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ni mgogoro wa kifamilia.
Soma Pia: Morogoro: Mwanaume wa miaka 46 ajinyonga kwa kutumia chandarua, alikuwa na changamoto afya ya akili
Kwakweli mambo mengi ila muda ni mchache. Apumzike
==================
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Fred Sanga (34), mkazi wa Mtaa wa Shewa, Kata ya Mwakibete, Mkoa wa Mbeya, amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ya manila na kuacha watoto watatu huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ni mgogoro wa kifamilia.
Soma Pia: Morogoro: Mwanaume wa miaka 46 ajinyonga kwa kutumia chandarua, alikuwa na changamoto afya ya akili