emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Lakini mbna naona anaisemea sana mbeya bungeni, maana navojua serikali ndio inayopeleka maendeleo kazi ya mbunge nikupiga kelele tu serikali imsikieMiaka 10 ya SUGU kafanya nini Mbeya zaidi ya kujineemesha binafsi? Show off mitandaoni. Huku Wapiga kura wamezungukwa na umaskini wa kutupa