Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna jeshi hapa Tanzania, hili ni tawi la ccm linaloshika bundukiHapa inatakiwa jeshi lichukue nchi,
HakikaNimeipitia hukumu ya High Court iliyotolewa Mbeya, niwazi mawakili walio wakilisha wananchi wameshinda kesi lakini Mahakama imeshindwa kutoa hukumu yake kuwapa ushindi Adv. Mwambakuzi na wenzake kwani mahakama imeeleza wazi kuwa Bunge nalo ni mhimili unaojitegemea hivyo hawawezi kutengua maamuzi yake.
AJABU SANA, mbona serikali nayo ni mhimili lakini maamuzi yake ya hovyo yanaweza kupingwa na mahakama?
Hapa inaonyesha wazi na majaji wametamka hivyo makusudi kama kufahamisha umma kuwa kuna shinikizo lililo waamuru kuamua hivyo.
Labda wa huko kwenuWananchi wengi wamefurahi uamuzi huu.
Bado unaota mchana. Hivi Wazanzibari walie kwa lipi kubwa? Wewe ndo sasa unalialia na utalia sana.Ni zamu ya Watanganyika kulia Chini ya CCM lakini kilio cha Wazanizibari kitakua kikubwa zaidí ni muda tu.
ili historia ijiandike vizuri, mana kuna watakaolialia ,"mbona hamkwenda mahakamani" kichapo kikianza.Mbona mlipeleka mahakamani.Wauliza jibu.
Watanganyika watakua wapumbavu sana endapo watarushusu wasomi Wa ajabu kutokea ughaibuni kuja kuchota pesa kwenye ajira za watoto wao Kwa sababu ya uhuni Wa siasa za CCM kudhani kuwa wanawakomoa wanaharakati .Bandari za Tanganyika zitatafutwa kwa njia zote mpaka zirudi mikononi mwa wamiliki halali, hizo taasisi zisizojitambua haziwezi kubadilisha maamuzi ya watanganyika.
Tulia ndio utajua kama unajua.Naona umeshakunywa Highlife unaropoka tu
Mawazo mazuri sana, piga namba hizi uongee na vijana wenzako: Phone : +255687840591Hizo ambazo Leo zimefanyiwa mapinduzi ya Kijeshi
nao ulikuwa ni utalawa kama huu ambao wananchi wao na wazalendo waliona kuwa kuna watu wanaofikiria kuwa wana hati miliki na hizo nchi!
Hata sisi kama taifa kuna haja sasa jeshi hasa wa ngazi za chini kujitoa kulikomboa taifa coz huenda viongozi wa Juu wamejawa kiburi kwa sababu wanajua kuwa viongozi wa kubwa wa Jeshi wapo upande wao!
Vinginevyo nchi inaingia kwenye machafuko kwa sababu kama hizi za dharau!
Kunahitajika nguvu ya umma kukinukishaHatuna jeshi hapa Tanzania, hili ni tawi la ccm linaloshika bunduki
Bila katiba mpya ni ngumu kupata hakiNimeipitia hukumu ya High Court iliyotolewa Mbeya, niwazi mawakili walio wakilisha wananchi wameshinda kesi lakini Mahakama imeshindwa kutoa hukumu yake kuwapa ushindi Adv. Mwambakuzi na wenzake kwani mahakama imeeleza wazi kuwa Bunge nalo ni mhimili unaojitegemea hivyo hawawezi kutengua maamuzi yake.
AJABU SANA, mbona serikali nayo ni mhimili lakini maamuzi yake ya hovyo yanaweza kupingwa na mahakama?
Hapa inaonyesha wazi na majaji wametamka hivyo makusudi kama kufahamisha umma kuwa kuna shinikizo lililo waamuru kuamua hivyo.
Jeshi liwasikilize wajinga nyie ambao hamna hoja yeyote jeshi la wapi hilo?Hizo ambazo Leo zimefanyiwa mapinduzi ya Kijeshi
nao ulikuwa ni utalawa kama huu ambao wananchi wao na wazalendo waliona kuwa kuna watu wanaofikiria kuwa wana hati miliki na hizo nchi!
Hata sisi kama taifa kuna haja sasa jeshi hasa wa ngazi za chini kujitoa kulikomboa taifa coz huenda viongozi wa Juu wamejawa kiburi kwa sababu wanajua kuwa viongozi wa kubwa wa Jeshi wapo upande wao!
Vinginevyo nchi inaingia kwenye machafuko kwa sababu kama hizi za dharau!
NdioJaji Warioba Chadema? Shivji Chadema? TLS Chadema? Hawa majaji kichekesho, wanasema mkataba umekiuka sheria ya manunuzi, sheria ya maliasili za nchi lakini hiyo haiwezi kubatilisha mkataba!
Bora waje wageni sababu ngozi nyeusi hata asome vipi akili zetu ziko chini kama kibataliWatanganyika watakua wapumbavu sana endapo watarushusu wasomi Wa ajabu kutokea ughaibuni kuja kuchota pesa kwenye ajira za watoto wao Kwa sababu ya uhuni Wa siasa za CCM kudhani kuwa wanawakomoa wanaharakati .
Ni aibu Malaki ya Watoto Wa kitanzania kukosa ajira Bandarini, airport,kwenye misitu na Maeneo mengi ya Ardhi Yao Kutawaliwa na Waarabu na Wazungu Karne hii ambayo Hata siasa Bado hazina usawa .
Katiba mpya itakuwa inajisimamia yenyewe auBila katiba mpya ni ngumu kupata haki
Sasa tutegemee nini?Jaji Warioba Chadema? Shivji Chadema? TLS Chadema? Hawa majaji kichekesho, wanasema mkataba umekiuka sheria ya manunuzi, sheria ya maliasili za nchi lakini hiyo haiwezi kubatilisha mkataba!
Siyo NDUGAI tu, na CAG Assad pia aliondolewa kwa tamko tu la Rais.Kama Ndugai alivurumishwa, mahakama ina nguvu gani hata iweze kustahimili??!
Umesema kweli. Ni zamu ya Watanzania kuchukua ajira bandarini, airport, kwenye misitu na maeneo mengine ya ardhi yao; muhimu wawe na vigezo vinavyotakiwa na waache kufanya kazi kwa mazoea.Watanganyika watakua wapumbavu sana endapo watarushusu wasomi Wa ajabu kutokea ughaibuni kuja kuchota pesa kwenye ajira za watoto wao Kwa sababu ya uhuni Wa siasa za CCM kudhani kuwa wanawakomoa wanaharakati .
Ni aibu Malaki ya Watoto Wa kitanzania kukosa ajira Bandarini, airport,kwenye misitu na Maeneo mengi ya Ardhi Yao Kutawaliwa na Waarabu na Wazungu Karne hii ambayo Hata siasa Bado hazina usawa .
Umesema kweli. Ni zamu ya Watanzania kuchukua ajira bandarini, airport, kwenye misitu na maeneo mengine ya ardhi yao; muhimu wawe na vigezo vinavyotakiwa na waache kufanya kazi kwa mazoea.Watanganyika watakua wapumbavu sana endapo watarushusu wasomi Wa ajabu kutokea ughaibuni kuja kuchota pesa kwenye ajira za watoto wao Kwa sababu ya uhuni Wa siasa za CCM kudhani kuwa wanawakomoa wanaharakati .
Ni aibu Malaki ya Watoto Wa kitanzania kukosa ajira Bandarini, airport,kwenye misitu na Maeneo mengi ya Ardhi Yao Kutawaliwa na Waarabu na Wazungu Karne hii ambayo Hata siasa Bado hazina usawa .