Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Si waliitwa kwenye faragha unategemea watakuea kinyume naatakwa ya wakubwa na jinsi walivyo waoga wa kufa utadhania watakwepa kifo.
Bado kumbukbu imewekwa kwamba Jambo hili la mkataba mbovu wa Serikali na DP WORLD ulikabiliwa na kesi mahakamani.

Mwabukusi na wenzako mmeonyesha UZALENDO mkubwa sana.na bado Kuna nafasi ya lukata rufaa.

MUNGU yupo pamoja nasi WATANGANYIKA.
 
Tunahitaji katiba mpya ili kuwadhibiti wasomi wajinga kama hao majaji
 
Hiii Nchi ni ngum san

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunatarajia aina hii ya watu watatokea sana , ni swala la muda!
 
Yaani hadi mtu unapata kichefu chefu. Bunge haliingiliwa katika maamuzi yake. Non sense. Utopolo ni mwingi mnoo
 
Utachoka tu....
 
Sasa tutegemee nini?
Alie wapa huo ulaji ndie wana takiwa wamsulu u, wata thubutu kweli?
Ccm ni kansa ila iko siku!!! Hata wana wa Israel waliteseka sana lakini wakati wa bwana ulipo wadaia hata mfalme Herode hakuamini macho yake..
... FARAO hakuamini macho yake! 😅
 
Mmeangukia pia, wazaramo wenye bandari yetu tuko kimya, nyinyi wanakijiji wa mbeya shobo za nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…