Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

we boss la dp world koma, tunataka bandari zetu usituletee usultani wako hatutaki. Fahamu kuwa huo mkataba tutauvunja hatutaki ukoloni mpevu sisi ni taifa huru linalojitambua na kulinda rasimali zake kwa nguvu zote
 
Hajaitwa Basata mpaka mda huu!
 
we boss la dp world koma, tunataka bandari zetu usituletee usultani wako hatutaki. Fahamu kuwa huo mkataba tutauvunja hatutaki ukoloni mpevu sisi ni taifa huru linalojitambua na kulinda rasimali zake kwa nguvu zote
Rudisheni pesa zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…