Nashukuru sana mihimili yote ya taifa kuridhia kunipa bandari na kunipa uhuru wa kufanya mambo yangu bila bugudha.
Nawashukuru ndugu Kitenge, Zembwela, Mwijaku na wanahabari wasomi wengine.
Ndugu Mwabukusi pia nakushukuru, unafaa kuwa wakili wangu binafsi.