Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Nashukuru sana mihimili yote ya taifa kuridhia kunipa bandari na kunipa uhuru wa kufanya mambo yangu bila bugudha.

Nawashukuru ndugu Kitenge, Zembwela, Mwijaku na wanahabari wasomi wengine.

Ndugu Mwabukusi pia nakushukuru, unafaa kuwa wakili wangu binafsi.
we boss la dp world koma, tunataka bandari zetu usituletee usultani wako hatutaki. Fahamu kuwa huo mkataba tutauvunja hatutaki ukoloni mpevu sisi ni taifa huru linalojitambua na kulinda rasimali zake kwa nguvu zote
 
Nipo nasikiliza NGOMA ya Fid q_siri ya mchezo...

Kuna line zinasema TANGANYIKA NI DEMU WA MTUNGO WANAMWITA CHA WOTE....

Anaendelea kusema KUUSAKA UKWEL NI SAWA NA KUMENYA VITUNGUU KILA GANDA.....LITAKUTOA MACHOZI NA UTABAKI MACHO JUU......

UKISHA FIKA KWENYE KIINI..UNAGUNGUA..NA UTAKUTANA NA MAFAILI YALIYO UNGANIKA JE UTAGHAIRI KUYAFUNUA....

Taifa la kondoo huongózwa na serikali ya Dubu...na Mbwa mwitu wenye hasira UBEPARI...

Kidumu chama Cha masela (CCM)

Mpak Sasa Tanganyika 0 Dp world 12
Hajaitwa Basata mpaka mda huu!
 
we boss la dp world koma, tunataka bandari zetu usituletee usultani wako hatutaki. Fahamu kuwa huo mkataba tutauvunja hatutaki ukoloni mpevu sisi ni taifa huru linalojitambua na kulinda rasimali zake kwa nguvu zote
Rudisheni pesa zangu.
 
Back
Top Bottom