Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Tutashinda nje ya Mahakama. ..Rostam azizi Alishasema mahakama zinafanya kazi kwa simu.
 
Rubbish! Umeusoma mkataba? stupid
 
Huu mkataba unaligawa Taifa lenu, wananchi wengi hawautaki, na hao ndio wenye nchi, hata Kama mkataba ungekuwa hauna shida ila wenye nchi wameukataa
Wenye nchi hawana budi kutii sheria bila shuruti. Sasa warudi walikoanzia ili kujifariji. Wasalimie Mwabukusi et al.
 
Kwani unataka uhali wa mkataba na huku ukijua kilichopo ni kutoa mapendekezo halafu ndio mkataba uboreshwe zaidiiii?? Kubarini kwamba mlikurupuka kwenda kushitakiii
 
Serikali yote ilihamia Mbeya kwa kigezo cha Nanenane, sishangai kusikia maamuzi hayo
 
Kwahiyo neno kuvunja katiba halipashwi kuwepo? Kwanini rais anaapa kuilinda katiba? You are stupid
 
Mahakama imeamua kuwatimba wananchi.

Enewei. Mungu huwa ana maamuzi yasiyoweza kukatiwa rufaa
 
Kwahiyo neno kuvunja katiba halipashwi kuwepo? Kwanini rais anaapa kuilinda katiba? You are stupid
Stupid ni yule ambaye hawezi kujua kwamba kwa Katiba iliyopo hakuna Uwezekano wa kuonekana Katiba imevunjwa mahali popote !!
Na ndicho kilichotokea na ndicho kitakachotokea siku za usoni as long as Katiba hii iliyopo itaendelea kuwepo !!πŸ™
 
Sema wapotoshaji wachachee, hakuna mwananchi anayepinga mkataba kama sio nyie wapotoshajii
Mimi ni mwananchi.

Eneo tunapoishi kila mmoja wetu anaupinga mkataba.

Sasa wewe ni nani kuwabagua kuwa wanaoupinga siyo wananchi? Wafaidika wa rushwa ndo wanaukubali bali wapenda haki wanaupinga
 
Stupid ni yule ambaye hawezi kujua kwamba kwa Katiba iliyopo hakuna Uwezekano wa kuonekana Katiba imevunjwa mahali popote !!
Na ndicho kilichotokea na ndicho kitakachotokea siku za usoni as long as Katiba hii iliyopo itaendelea kuwepo !!πŸ™
you are stupid nasema! kwaheri! halijui hata maana ya kuapa kulinda katiba....
 
you are stupid nasema! kwaheri! halijui hata maana ya kuapa kulinda katiba....
Majaji ndio wanajua zaidi yangu na wewe πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™ ! Na ndio waliotoa hukumu kwamba Katiba haikuvunjwa πŸ™πŸ™. Ujuaji mwingi mbele giza punguza makasiriko πŸ˜…πŸ™
 
Nani anaweza kukubaliana na hukumu fyongo kama hii.

Mahakama zenyewe za majaji kupigiwa simu ulitegemea haki?

CCM na majaji wao wanajitekenya na kucheka wenyewe. Hakuna anayeweza kubuy katika mkataba wa hovyo wa namna hii kisa eti majaji watatu wamekaa na kuamua.

Rostam alisema wanapigiwaga simu hawa, Sijui safari hii wamepigiwa mara ngapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…