Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Mbeya: Mahakama Kuu yatoa baraka Uwekezaji wa DP WORLD Dubai Bandarini. Walalamikaji wajipanga kukata Rufaa ya Hukumu

Wewe umesema kweli,unafungua kesi kwa kitu kisichokuhusu.Si ajabu hata hawajui maji ya bahari yako vipi.
Wajulie wapi.
Washamba flani tu wamekusanyana kutimia uhuru wao kwenda Mahakamani lkn hawana wajualo kuhusu bandari
 
unaisha kabisa mwarabu hacheki na kima nyie ndiyo itakuwa mwisho wenu mmezoea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi

You the way umejibu? Like unasuta, unanyoosha kidole kwa mtu anaehoji as if yeye ndio muhusika, seriously?
Grow up man
 
HIVI bunge likikosea linakosolewa na nani? Maana maneno kuwa mi muhimili usioingiliwa yanatoa taswira kuwa bunge haliwezi kukosea wakati bunge linaongozwa na watu na hakuna aliye mkamilifu kwa asilimia mia
 
Kuna mtu alitegemea hukumu tofauti na hii? Machafuko a mapinduzi ya kijeshi ndio muarobaini wa haya mambo ya utawala wa kihuni.
 
Back
Top Bottom