Mbeya: Mbele ya Waziri Mkuu mzee asema bora afe asiposaidiwa kupatikana kwa mtoto wake anayedai alitekwa na Askari Polisi

Mbeya: Mbele ya Waziri Mkuu mzee asema bora afe asiposaidiwa kupatikana kwa mtoto wake anayedai alitekwa na Askari Polisi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607


Katika hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu amesema Bora arudi nyumbani na kwenda kufa kama itashindikana kusaidiwa kupatikana kwa mtoto wake aliyepotea tangu tarehe 11/11 mwaka 2021, kwa madai kwamba alichukuliwa kama Mateka na askari wa jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya aliyedai atampoteza mnamo tarehe 10/11/2021.

Akiomba msaada Mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema amehangaika juu ya kupatikana kwa mwanae kwa viongozi mbalimbali Mkoani Mbeya, lakini hakuna msaada aliopata na hadi Sasa hajulini kua mwanaye yupo hai au alifariki Dunia.

Baada ya kumsikikiza Mzee huyo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wasaidizi wake kutoka ofisi yake kushughulikia suala hilo Ili kupatiwa ufumbuzi.
 


Katika hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu amesema Bora arudi nyumbani na kwenda kufa kama itashindikana kusaidiwa kupatikana kwa mtoto wake aliyepotea tangu tarehe 11/11 mwaka 2021, kwa madai kwamba alichukuliwa kama Mateka na askari wa jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya aliyedai atampoteza mnamo tarehe 10/11/2021.

Akiomba msaada Mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema amehangaika juu ya kupatikana kwa mwanae kwa viongozi mbalimbali Mkoani Mbeya, lakini hakuna msaada aliopata na hadi Sasa hajulini kua mwanaye yupo hai au alifariki Dunia.

Baada ya kumsikikiza Mzee huyo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wasaidizi wake kutoka ofisi yake kushughulikia suala hilo Ili kupatiwa ufumbuzi.

Hii ndiyo Mbeya tunayoijua sisi. Mbeya sio ya watu wenye mtindio wa ubongo
 


Katika hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu amesema Bora arudi nyumbani na kwenda kufa kama itashindikana kusaidiwa kupatikana kwa mtoto wake aliyepotea tangu tarehe 11/11 mwaka 2021, kwa madai kwamba alichukuliwa kama Mateka na askari wa jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya aliyedai atampoteza mnamo tarehe 10/11/2021.

Akiomba msaada Mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema amehangaika juu ya kupatikana kwa mwanae kwa viongozi mbalimbali Mkoani Mbeya, lakini hakuna msaada aliopata na hadi Sasa hajulini kua mwanaye yupo hai au alifariki Dunia.

Baada ya kumsikikiza Mzee huyo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wasaidizi wake kutoka ofisi yake kushughulikia suala hilo Ili kupatiwa ufumbuzi.

Anawaagiza hao walioshindwa kutoa msaada badala ya yeye kupeleka watu toka ofisini kwake! Naona kama naye amepotezea.
 
Toka 2021?....ufumbuzi gani?...huyo askari kampoteza kweli huyo dogo.
DAWA ni hii huyo askari nae apotezwe peupe kabisa..kulea mambo kama haya haifai.
Fucken stupid.
 
CCM na vyombo vyake kandamizi ndiye adui namba moja wa Mwananchi
Wamefanya POLISI wahuni wachache au hujui kwamba kila sehemu wahuni hawakosekani, na wahuni sio people Mzee anakwambia last time kumuona mwanae ni pale aliambiwa na huyo asikari aliechukua 1,000,000 kwa mwanae kwamba 'umeenda kunisemea kwa mkubwa wangu basi nitakupoteza' kuanzia hapo hadi leo hajui mwanae alipo sana sana amekua akipigiwa simu tu na kuulizwa maswali ya kiaskari
 
Kuna jamaa alichukuliwa Mtoni kwa Aziz Ally.. Na askari wamevaa kiraia na gari lao..

Ndugu walitafuta kuanzia Temeke, Central na vituo vyoote bila mafanikio..

Ikapita miezi 6 wakaenda kwa RPC kanda maalum.. Ndipo katika kufuatilia kumbe wale askari walimpeleka kituo cha polisi Kibaha makusudi ili akitafutwa Dar asipatikane..
Kosa lake lilikuwa anamendea mke wa mtu.. Mhusika akawapa askari hela wampoteze mtaani...
 
Hii dunia inahitaji namna fulani ili watu waheshimu wengine..
Hakuna namna nyingine..
Kabisa,haya mambo ya kutoa malalamiko kwa mkubwa alafu
Hakuna kinachofanyika..hii ni dharau
Kwa wengine

Ova
 
Ikionekana kuna kulindana basi OCD, RPC na hata mkuu wa wilaya na mkoa wafukuzwe kazi. Sio kuhamishwa vituo.

haiwezekani mpaka waziri mkuu aseme ndio watu wafanye kazi.
 
Back
Top Bottom