Mbeya: Mbele ya Waziri Mkuu mzee asema bora afe asiposaidiwa kupatikana kwa mtoto wake anayedai alitekwa na Askari Polisi

Daah
 
Baada ya kumsikikiza Mzee huyo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wasaidizi wake kutoka ofisi yake kushughulikia suala hilo Ili kupatiwa ufumbuzi.
Nilitegemea PM awahoji askari waliohusika papo hapo
 
Nchi inanuka damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…