Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
ukweli ni kwamba Chadema imekufa na mojawapo ya uhakika kwamba Chadema imekufa ni kuporomoka kutoka kuwa na idadi kubwa sana ya wabunge kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 mpaka kuwa na mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa na Chama kama Chadema kilitumia nyota ya TAL kupata idadi ya kura ambazo zilisababisha kupata wabunnge 19 wa viti maalumu.
Hata baada ya anguko hilo Chadema hawataki kukiri makosa yao kwamba anguko lao ni mchakato wa makosa ya kuwarubuni wapiga kura mwaka 2015 baada Ya chadema kuwaacha wananchi kwa kushindwa kuungana na Magufuli kutetea sera zinazoyagusa Maisha ya watanzania kama Mapambano dhidi ya Rushwa na ulinzi wa Rasilimali za Taifa letu.
Chadema imekosa mwelekeo haina hoja tena ya kuwaambia Watanzania kilichobaki sasa hivi ni kurusha rusha miguu at their last breath there's no mechanism of the fundamental regime of which Chadema could retrieve its manifestations in order to conquer voters mindset their fishy smelling mindset is irreplaceable.
Chadema wanashambulia kila mtu mwenye mafanikio kama kweli Chadema inapendwa kama Diamond Mbowe na Diamond waitishe mkutano Diamond aweke kiingilio cha 20000 na Mbowe afanye bure nina uhakika Mbowe hafikishi 0.01% ya wafuasi wa Diamond kuna vitu vya kushobokea lkn kuamua kupambana na watu wenye nyota zao kama Diamond na Magufuli ni kaburi la chadema
Hata baada ya anguko hilo Chadema hawataki kukiri makosa yao kwamba anguko lao ni mchakato wa makosa ya kuwarubuni wapiga kura mwaka 2015 baada Ya chadema kuwaacha wananchi kwa kushindwa kuungana na Magufuli kutetea sera zinazoyagusa Maisha ya watanzania kama Mapambano dhidi ya Rushwa na ulinzi wa Rasilimali za Taifa letu.
Chadema imekosa mwelekeo haina hoja tena ya kuwaambia Watanzania kilichobaki sasa hivi ni kurusha rusha miguu at their last breath there's no mechanism of the fundamental regime of which Chadema could retrieve its manifestations in order to conquer voters mindset their fishy smelling mindset is irreplaceable.
Chadema wanashambulia kila mtu mwenye mafanikio kama kweli Chadema inapendwa kama Diamond Mbowe na Diamond waitishe mkutano Diamond aweke kiingilio cha 20000 na Mbowe afanye bure nina uhakika Mbowe hafikishi 0.01% ya wafuasi wa Diamond kuna vitu vya kushobokea lkn kuamua kupambana na watu wenye nyota zao kama Diamond na Magufuli ni kaburi la chadema