Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunachoshukuru Mungu ni kwamba waliotaka Chadema ife walikufa wait ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Mbuzi mmoja na debe la mchele! Chadema bhana
Kuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana , Bali haitawezekana milele , kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe , au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao .,,,!!!AMESHAKUFAKuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana , Bali haitawezekana milele , kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe , au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao .
Chadema haifi na wala haitakufa .
Hii hapa ni video ikionyesha vikao vya ndani vya Chadema , huku wanachama wakimimina zawadi kwa Mwamba Mbowe huku usafiri wake ukishindwa kuzibeba , imebidi ajipapase mfukoni ili akodi Scania yenye kontena la Futi 40 kuweza kubeba mizigo aliyopewa Mbeya wakiwemo mbuzi kadhaa
View attachment 1817929
View attachment 1817930
Hawa jamaa ni wapuuzi, kwa akili hii hawatakaa washinde nchi hiiShida mnajifanya hamjui dalili ya kitu kilichokufa. Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba:
1. Kwa viumbe hai hususani binadamu ni mapigo ya moyo kuwa 0, kupumua kuwa 0 na fahamu za ubongo kuwa 0.
2. Kwa vyama hususani chadema ni idadi ya wabunge kuwa 0, idadi ya madiwani kuwa 0 na idadi ya wenyeviti wa mitaa au vijiji kuwa 0.
Kiumbe kikifa kukifufua ni jambo lisilowezekana ila wapo watu wanaofanya usanii wa kufufua watu hususani baadhi ya wachungaji wa makanisa ya walokole. Vivyo hivyo kwa vyama kama chadema watu wanaweza fanya usanii wa aina hiyo wa kufufua.
Akina lijualikali hawamini yanayowakuta wakati huu.
Chadema imekufa[emoji28][emoji28][emoji28]
alisikika mzee mmoja aliyekufa kwa corona
Wewe sijui ni Dr. kweli au unajipa ujiko tu, anyway utajijua mwenyewe, nakufundusha tu Kuwa UHAI WA CHAMA CHA SIASA NI UFUASI NA UUNGWAJI MKONO WA WANACHAMA WAKO. CHADEMA imedhihirisha hilo kuwa ina UFUASI na inaungwa mkono. Ndichi kinachoonekana hapo Mbeya.Shida mnajifanya hamjui dalili ya kitu kilichokufa. Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba:
1. Kwa viumbe hai hususani binadamu ni mapigo ya moyo kuwa 0, kupumua kuwa 0 na fahamu za ubongo kuwa 0.
2. Kwa vyama hususani chadema ni idadi ya wabunge kuwa 0, idadi ya madiwani kuwa 0 na idadi ya wenyeviti wa mitaa au vijiji kuwa 0.
Kiumbe kikifa kukifufua ni jambo lisilowezekana ila wapo watu wanaofanya usanii wa kufufua watu hususani baadhi ya wachungaji wa makanisa ya walokole. Vivyo hivyo kwa vyama kama chadema watu wanaweza fanya usanii wa aina hiyo wa kufufua.
naona mfalme mswati wa kifipa anakusanya tu mizawadi ya kinamamaKuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana , Bali haitawezekana milele , kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe , au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao .
Chadema haifi na wala haitakufa .
Hii hapa ni video ikionyesha vikao vya ndani vya Chadema , huku wanachama wakimimina zawadi kwa Mwamba Mbowe huku usafiri wake ukishindwa kuzibeba , imebidi ajipapase mfukoni ili akodi Scania yenye kontena la Futi 40 kuweza kubeba mizigo aliyopewa Mbeya wakiwemo mbuzi kadhaa
View attachment 1817929
View attachment 1817930
anajua hyo bas.. 🙄zile ni sample tu
Uko sawa kabisa yaani, Diamond kabeba mitando yote, ndo uje huyu mtu ni maarufu sana.Wabunge washajua mawazo yenu yapo kwenye ujinga wa dimondi hivyo wanajifanyia Yao kwa wepesi bila wasi wasi!
Hadi mshtuke mtajikuta mnalipia kodi zisizowastahili!
Neno sahihi ni ametapeliwa aka kaingizwa mjini aka kaliwa kichwa aka ........Hivi unaposema "Mbowe apata hasara,anapaswa kuingia gharama ya kukodi kontena..." unakua umepiga hesabu gani mpaka kuja na conclusion kua kitendo cha Mbowe kukodisha kontena kubeba zawadi alizopewa ni hasara? au una maanisha kua gharama ya kukodi kontena ni kubwa kuliko thamani ya hizo zawadi alizopewa? je kama ulimaanisha hivyo,hiyo hua inahesabika kua ni hasara?
Hebu fafanua vizuri,hiyo hasara unayoiongelea ni ipi hasa?
Dhalim ndiyo anavyoteseka huko kuzimu?
Kawaulize akina Halima Mdee, Rwakatare, Mashinji, Dr Slaa, Selasini, Komu, Kubenea etc watakuambia that thing died long time ago. What you are seeing is its ghost!Wewe sijui ni Dr. kweli au unajipa ujiko tu, anyway utajijua mwenyewe, nakufundusha tu Kuwa UHAI WA CHAMA CHA SIASA NI UFUASI NA UUNGWAJI MKONO WA WANACHAMA WAKO. CHADEMA imedhihirisha hilo kuwa ina UFUASI na inaungwa mkono. Ndichi kinachoonekana hapo Mbeya.
Ubunge,Udiwani na Uraisi mi matokeo ya UUNGWAJI mkono katika fair ground.
Jiulize uwanja wa ushindani uko fair?
Ndiyo amana wanataka Katiba Mpya na Tume Huru.
Umelewa sasa?
safi sanaKuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana, ali haitawezekana milele, kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe, au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao.
Chadema haifi na wala haitakufa.
Hii hapa ni video ikionyesha vikao vya ndani vya Chadema, huku wanachama wakimimina zawadi kwa Mwamba Mbowe huku usafiri wake ukishindwa kuzibeba, imebidi ajipapase mfukoni ili akodi Scania yenye kontena la Futi 40 kuweza kubeba mizigo aliyopewa Mbeya wakiwemo mbuzi kadhaa.
View attachment 1817930
View attachment 1817929
Naona swali langu limekua gumu kwake! Kakwepa kulijibu!Neno sahihi ni ametapeliwa aka kaingizwa mjini aka kaliwa kichwa aka ........