Mbeya: Mbowe apokea zawadi toka kwa Wanachama wa CHADEMA waliohudhiria kikao cha ndani

Acha dharau mkuu, heshimu kazi ya mwenzako kabisa. Unadhani hekima nini? Viongozi wa siasa hekima wakiwa hajapata wacho tafta. Wakipata huwaoni na wako bussy. Imagine mbunge anakupangia kode ila yeye hakuna kodi anayolipa maisha yake ya ubunge.
Wabunge washajua mawazo yenu yapo kwenye ujinga wa dimondi hivyo wanajifanyia Yao kwa wepesi bila wasi wasi!
Hadi mshtuke mtajikuta mnalipia kodi zisizowastahili!
 
Kuna watu utawakuta wakiongea peke yao wakiiona hii video
 
Kwa comment hii bado unajiita Dr,akili au umestaafu?
 
Sikujua kuwa huyu mtoa mada ni moja ya watu vilazaπŸ“ΈπŸ“ΈπŸ“Έ
 
Mbowe hana muda wa siasa za kipumbavu.
 
Kauli kama hizi ndio hutia watu hasira sana. Unazungumzia uchaguzi ulioibwa mchana kweupe na kila mtu anajua !!
 
toka kaingia mzee moja ya malengo ni kuua chadema. na uhun wote huo waliofanyiwa lakin bado wapo.. even if hawana kiti bungeni.
labda definition ya kufa iwe imebadilika.. maana kufa ni kupotea kwenye uso wa dunia.
kufutika kabisa.
lakin mbona bado wamo?
 
Kwa sababu ya uchafuzi ule uliofanyika ndio maana ukadanganyika kuwa chama hicho mliweza kukiua na kupa pole kwani mtazamo wako hauko sawa, kaa tulia mkiweza anzisheni mbinu mpya ya jinsi ya kupambana ili lengo na furaha yenu iweze timia.
 
Ahahahahah ngoja waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…