Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

haya ndio yale matoto yanayojua matako ya baba zao kwa kupiga chabo.

hayana adabu hata ya dalili.
 
Hujakumbuka na Mangula alivyowekewe sumu?
Na wale wabunge walionunuliwa kina waitara na leo ni mawazir. Unajiita chama utawala wakati hata viongozi unanunua?????
kuna yule aliyeanguka akitoka kilabuni,akasema kapigwa ugoko peke yake[emoji38][emoji38].
 
wanaonedelea kumsifu wanajibu majibu ya wanga wanaondelea kumsema vibaya.

upande wa kufunga vitobo kwanza ni huu wa shetani.
 
Unaandika kabla ya kufikiri.
Sibishani na vijana wajinga wanaoishi kwa kuombaomba
unadhani kila sehemu ni kwa kubishana tu,kuwa wise mzee sehemu nyigine ni kwa ajiri ya kuubonda upumbavu wako ukutoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…