Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Chadema imechokwa
du kumbe wamefikia huko mamayanguuuu weee maweeeeeee wam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du kumbe wamefikia huko mamayanguuuu weee maweeeeeee wam
haswaaaaaaaaChadema imechokwa
Leo wamezidisha fungu nn mkuu!!? Naona upo active kwelikweli!!Sugu amejikatia tamaa hata wale wanahip hop wenzake wa Mbeya wanamkimbia
Alishawahi kusema hivyo au wewe ni mtabiri?Sugu akishinda ata kuambia ni juhudi zake binafsi ndio zimempa ubunge.
Mchinjeni tu aendeshe hotel yake.
Mataahira ya Lumumba yanajibizana!Hakuna kura za huruma Sugu arudi kwenye michano kama Jiga........ubunge ni Tulia
Unautani...Sugu amejikatia tamaa hata wale wanahip hop wenzake wa Mbeya wanamkimbia
Nipo mbeya mda huu siwakatishi tamaa . sugu atashinda kwa kura nyingi sanaSugu tumempa Desderia inamtosha
Wanasema ama Tulia awe Sugu, au Sugu awe Tulia.Hapo Mbeya, IPO kazi si ya kitoto, ama Tulia, ama Sugu na yeyote aweza kuwa!!
Time will tell.Make hii coment sugu atashinda halafu utarudi hapa na aibu jukwaani
1 GB BRAIN CAPACITY 🤣🤣🤣Sugu amejikatia tamaa hata wale wanahip hop wenzake wa Mbeya wanamkimbia
1 GB BRAIN CAPACITY [emoji1787][emoji1787][emoji1787]