Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Yaani mtu anakamatwa kule halafu anapelekwa kwake halafu zinakutwa sawa!
 
Akili sio akiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitashukuru ila it may be likewise siyo kila aliye selo ana hatia ni swala la kujianda tu rafikii yanguu!!utawala usio singazia demokrasia hauna rafiki!!mimi nitakuletea na magazeti ya kila siku pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubali Bongo watu hawana mwamko. Lakini ni lazima wawepo watakaonza na mwanzo utakuwa mgumu sana sana.

Tatizo hata kama hukujitoa kuna siku huu ukatili ukakujia kwa njia ambayo hukutegemea kabisa kabisa na ukaathirika sana.

Wanaojitolea badala ya kuwabeza na kuwaita majina ni bora kuwaheshimu. Woga wako ndiyo mauti yako. Utaguswa tu kwa namna moja ama nyingine.
 
Namna hii hata kama Watanzania tutasali na kuomba toba kwa Mungu juu ya COVID-19 na Majanga mengineyo si rahisi kujibiwa na kuponywa sababu ya dhuluma za Wakuu wetu...

Hakuna dhambi mbaya kama kusema Uongo (Ufunuo 21: 8) na kutoa Ushuhuda wa Uongo ni Chukizo baya zaidi kwa Mungu, soma (Kutoka 20:16)...

Mipango mingi ya Nchi hii itakwama sababu ya Chukizo lifanywalo na Viongozi kwa raia wake kwani Mungu siku zote hadhihakiwi na anguko lake ni dhahiri, ni suala la muda tu !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupiga ramli,lete ushahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…