Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mnyaki wa kyela wa Rungwe hawana shida.Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba. Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.
Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo. Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu. Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Mchakato wa kufa huanza hivihivi kama utani ..Bora kukamatwa kwa kuipigania nchi kuliko kukenua mimeno michafu kama K ya Mbuzi ukifurahia jimama fulani likipiga taifa mnada
Ndio mnajifichia huko siku hizi mkimbiaji ukweli. Eti leo mkuu wa usalama wa Taifa ameua mtoto wa Mbarikiwa. Yaani aue mtoto kwa kosa gani? Mbarikiwa ana tishia nini kwenye usalama wa nchi? Mbarikiwa ana influence gani nchini? Mbarikiwa ana watu wangapi wanaosikiliza? Wale kikosi kazi hata 50 hawafikii.Wewe sio hakimu, acha maneno meeeengi ya kulaumu!
Ungeweka kawimbo tusikilize huo uchochez, si ajabu kaimba ukwel kbs! Tatizo ni vile malaika hawajasifiwa!!Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwimbaji wa nyimbo za injili SIFA BONIVENTURE BUJUNE [25] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi na kuurusha kwenye mitandao ya kijamii.
Kamanda wa Polisi Mbeya, Benjami Kuzaga amesema Mtuhumiwa alikamatwa Septemba 13, 2023 huko Isyesye Jijini Mbeya baada ya kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi dhidi ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuusambaza kupitia mitandao ya kijamii pamoja na mtandao wa kurusha maudhui wa Youtube. Mtuhumiwa anaendelea kuhojiwa kwa hatua zaidi za kisheria.
Kumbe unamfuatilia. Amechanganyikiwa yule kwa kweli.Atakuwa mnyaki wa kyela wa Rungwe hawana shida.
Wanamuulie mwanae kwa interest zipi tishio kwa Serikali.
Amechanganyikiwa soon atakuwa kama kibwetere.mara aseme Biblia ni kitabu Cha shetan
Hizo ni hadithi za kutungwaUnasoma BIBLIA Gani?
Nenda kasome mkasa wa Nabii Elia vs Mfalme Ahabu dhidi ya Yezebeli na Yehu utajua nini anafanya Mbarikiwa.( 1 Wafalme 1,2,3,4.......... )Hadi mwisho wa kitabu utaona.
Kila mtumishi ameumbwa na kupewa utumishi Kwa nafasi yake.
Usijihesabie HAKI.
Mmejificha kwenye usihukumu na usijihesabie haki. Yule ni psychiatricSawa.
Kumbe uko kazini, bas sawa.Ndio mnajifichia huko siku hizi mkimbiaji ukweli. Eti leo mkuu wa usalama wa Taifa ameua mtoto wa Mbarikiwa. Yaani aue mtoto kwa kosa gani? Mbarikiwa ana tishia nini kwenye usalama wa nchi? Mbarikiwa ana influence gani nchini? Mbarikiwa ana watu wangapi wanaosikiliza? Wale kikosi kazi hata 50 hawafikii.
Mtoto kafa tokana na ajali ya Gari wakati wanaenda kuhubiri kule kanda ya ziwa. Baada ya kupata ajali, baada wampeleke hospitali au wamrudishe Mbeya, wamelazimisha naye amelazimisha kwenda kwenye mkutano eti ni shujaa anataka afe pamoja na Baba yake. Mtoto akawa na maumivu ya ndani kwa ndani ndio kilimuua. Sasa hapo mkuu wa usalama wa Taifa kahusikaje?
Tunafahamu utumishi wa Kimungu umejengwa katika unyenyekevu. Ukitaka kujua fuatilia watoto wake akina Onesmo Mwakajila hata yule Ulimwengu aliamua kujitoa kikosi na alivyoshambuliwa. Mwulize Kuhani Lawi alivyomshauri alichokutana nacho toka kwa hao watoto wake. He is psychiatric, wampime akili na wamcontrol haraka ataleta maafa kama ya Shakahola.
Kazi gani wewe acha Mbwembwe.Kumbe uko kazini, bas sawa.
Una ushahidi Kutoka polices au eneo walilopatia Ajali kwamba mtoto wake alifariki Kwa Ajali?Kazi gani wewe acha Mbwembwe.
Kwa hasira hizi inaonekana waumini wako wote wamekimbilia kwa mwakipesileAcha nawe kupotosha. Kuna sehemu Eliya alimtukana Ahabu? Kuna sehemu Eliya alimshutumu Ahabu? Mnampotosha na yule kuanguka hashauriwi namfahamu nawafahamu wale vija wake na mkewe na wala sijihesabii haki na mwache kumpampu ujinga. Kuna sehemu Eliya alimshinda ahabu? Akina Petro, Yakobo na Paulo waliuliwa na Dola. Yesu aliuliwa na Dola. Hakuna mtumishi wa Mungu aliyewahi ishinde dola narudia na afanyavyo ni watu wasio na akili pekee ndio wanamuunga mkono. Akina Eliya walienda kuonya na sio kutukana. Wacha maneno yako haya.
Kama CPCT tulishatuma mtu kumuonya, kumshauri na kumueleza aache haya. Anajibu hovyo na kiburi. Kiburi kile sio cha Kimungu hata usemaji na sasa mnajifichia kuhukumu nankujihesabia haki. Kwake namhukumu na najihesabia haki. Mi nakaa na kutumika Mbeya, tumemuita na kuongea, hasikii wala haambiliki yule.
Enzi za ukipigwa shavu moja mgeuzie la pili umepitwa na wakati.Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba. Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.
Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo. Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu. Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Kufa kila mtu atakufa hata ujifiche chumbaniMchakato wa kufa huanza hivihivi kama utani ..
Sio kirahisi hivyo ,lugha ngumu km hiyo inabidi itolewe na aliyerudi kuzimu.Kufa kila mtu atakufa hata ujifiche chumbani
Siku hizi wanakamata mpaka walokole hii laana haitowaacha salama🧐Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwimbaji wa nyimbo za injili SIFA BONIVENTURE BUJUNE [25] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi na kuurusha kwenye mitandao ya kijamii.
Kamanda wa Polisi Mbeya, Benjami Kuzaga amesema Mtuhumiwa alikamatwa Septemba 13, 2023 huko Isyesye Jijini Mbeya baada ya kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi dhidi ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuusambaza kupitia mitandao ya kijamii pamoja na mtandao wa kurusha maudhui wa Youtube.
Mtuhumiwa anaendelea kuhojiwa kwa hatua zaidi za kisheria.
Nani kasema mtoto wake kafa kwa ajali? Una nilisha maneno. Nimesema chanzo cha kifo kile ni walipopata ajali wakienda kuhubiri kanda ya ziwa. Baada ya kumrudisha mtoto Mbeya au wampeleke Hospitali wakaenda naye kwenye mkutano wakati mtoto akiwa na majeraha ya ndani. Hii ndio ilisababisha kifo chake. Je wewe una ushahidi kuwa aliuliwa na Usalama wa Taifa? Kwa akili yako ndogo, usalama wataua mtoto wa Mbarikiwa kwa kosa gani? Je mbarikiwa ana influence gani nchi hii hadi awe tishio?Una ushahidi Kutoka polices au eneo walilopatia Ajali kwamba mtoto wake alifariki Kwa Ajali?
Wachungaji wa kipentecoste ni jipu kubwa wamebaki kuxini na washirika tuKwa hasira hizi inaonekana waumini wako wote wamekimbilia kwa mwakipesile
Yohanna Mbatizaji alimwambia Kweli mfalme kuwa amefanya kosa kunyanganya mke wa kakake na kumfanya mke wake.Enzi za ukipigwa shavu moja mgeuzie la pili umepitwa na wakati.
Mnahubiri uoga na sio neno la ujasiri.
Tangu mwanzo Wafalme wakikosa hukenewa na watumishi wa Mungu lkn ninyi mmekuwa watu wa ajabu mno hasa Wapentecoste.
Wachungaji wa Kipentecoste wanafiki mnooo mnapitwa na RC.
ningmyi ni wasengenyaji na wanung'unikaji chichini...ninawafahamu kuliko.
Mleta mada kagoma kuweka maneno ya wimbo huo seuze wapita njia!Hyo wimbo uko wapi niufanyie remix