JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mwalimu wa mazoezi wa Shule ya Sekondari Sinde - Jijini Mbeya, Evaristo Chona anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kudaiwa kusambaza picha za Wanafunzi wakiwa wamekaa chini kwa madai ya kukosa madawati, jambo lililoifanya Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mbeya kufika shuleni hapo.
Hutawaona Hapa hata kidogo! Na hoja zao utaona zinavyochekesha na kuacha maswali mengiKumekucha! Chawa wamekereka kwa maana Mama yuko kazini.
Sio kuvifanya tu uliza gharama wanazotumia kumdhibiti mtoa taarifa kwa umma utadhani hii nchi tumepanga! Wangezitumia kurectify the situation Mara moja!Watu weusi ni jamii iliyo kwisha laaniwa? mbona vitu vidogo namna hii ccm wanashindwa kuvifanya? So sad
Hawa kamati ya ulinzi na Usalama ni wazembe sana, badala ya kufuatilia pesa ya michango ya madawati imeenda wapi, unahangaika na anayetupa taarifa ili tutoe misaada, hata madirisha hayaridhishi, hivi pesa ya Memkwa/Memki ilijenga hivyo kweli? Nyie viongozi hamjitanmbui, kazi majungu tu. MJITAFAKARI MCHUKUE HATUAMwalimu wa mazoezi wa Shule ya Sekondari Sinde - Jijini Mbeya, Evaristo Chona anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kudaiwa kusambaza picha za Wanafunzi wakiwa wamekaa chini kwa madai ya kukosa madawati, jambo lililoifanya Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mbeya kufika shuleni hapo.
Hahaaaaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Nipo kusahihisha daftari mie,Sina jipya
Mlisema amekufa Magufuli haya hayakuwepo tena kwa sababu yeye ndiye alikuwa anatoa amri ya kukamata watoa taarifaMwalimu wa mazoezi wa Shule ya Sekondari Sinde - Jijini Mbeya, Evaristo Chona anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kudaiwa kusambaza picha za Wanafunzi wakiwa wamekaa chini kwa madai ya kukosa madawati, jambo lililoifanya Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mbeya kufika shuleni hapo.
Kamati wamekuwa wa kwanza kulifanya siasa jambo hili,Hawa kamati ya ulinzi na Usalama ni wazembe sana, badala ya kufuatilia pesa ya michango ya madawati imeenda wapi, unahangaika na anayetupa taarifa ili tutoe misaada, hata madirisha hayaridhishi, hivi pesa ya Memkwa/Memki ilijenga hivyo kweli? Nyie viongozi hamjitanmbui, kazi majungu tu. MJITAFAKARI MCHUKUE HATUA
Hapo sawa, moyo wangu una amani. Maana nilitaka nipige call moja ambayo within 2 hours ungekua nje[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Nipo kusahihisha daftari mie,Sina jipya
Wanaona anaichafua ile inayoitwa "anaupiga mwingi". Wanasahau bei za vitu hasa vyakula tayari zimeshaonesha uwezo wake sifuri.Mmh.. ..ndio wanasema tupo huru vile?!