Mbeya: Mwalimu aliyesambaza picha za Wanafunzi wamekaa chini, aingia matatani

Wameficha uchafu hao,inawezekana kweli hakuna madawati.mbona picha inainyesha wamekaa chini!.

Na mbona hakuna mwanafunzi akiyehojiwa?!.

Huyo mwalimu mmwache kabisaaa.
Wenye akili tumeelewa na ujumbe umefika.

Msitake kuficha uhalisia kwa kutumia nguvu.

Shabashi siasa maji taka

 
WEWE KWENYE FAMILIA YAKO WOTE UMEWATIMIZIA MAHITAJI YAO? TUANZIE HAPO KWANZA HALFU TUJE L SHULE NINA JIBU LAKO ZURI SANA
More than 60 yrs tunahangaika na madawati,mko siriaz nyie na li chama lenu kweli?
 
Wakimfunga watuambie

Nini maana ya Uhuru wa vyombo vya habari?

Pia watuambie Nini maana ya ruksa kukosolewa?
 
Sijaona kosa lake .Tanzania nchi yenye uhuru zaidi ya miaka 60 watoto wanakosa madawati.Ila upande ule kule tunapewagwa pesa nyingi zinapoishia hatujuagi
 
Hii nchi imelaaniwa . Amefanya kosa gani huyo mwalimu?
 
He has watoto waliopigwa picha walikuwa wamekaa chini ni watoto wa wapi??

Ni WA shule gani?

Mi naona wamechukua madawati ya shule jirani wakayaweka pale wakaita waandishi wapige picha kuficha aibu Kwa spika!!

Mwandishi alipaswa ahoji huyu mwalimu alipiga picha Ile ya wanafunzi wakiwa wamekaa chini ilikuwa ni ya wanafunzi WA wapi??
 
WEWE KWENYE FAMILIA YAKO WOTE UMEWATIMIZIA MAHITAJI YAO? TUANZIE HAPO KWANZA HALFU TUJE L SHULE NINA JIBU LAKO ZURI SANA

Acha kutetea ujinga. Mnatumia pesa za reserve halafu bado unauliza maswali yasiyo kuwa na kichwa Wala miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…