Mbeya: Mwandishi wa Habari afariki baada ya kujifungua

Huo sio uzembe wa madaktari kweli?
Mkuu unaweza usiwe uzembe ila labda ni sababu ambazo hazizuiliki, je unajua ni wangapi wamefanyiwa na wapo vizuri tuu? Hapo meta ni hospital ya rufaa kanda wapo maspecialist wengi tuu wa wanawake ingekua ni jambo lakuzuilika lingezuilika mapema tuu na ukiona mama amejifungua kafariki ujue ni issue kubwa na watu apo wamepigana kumwokoa hadi mwisho wa uwezo wao.
 
Operation siyo nzuri kabisa kuna muda nakata tamaa kuongeza watoto...nikikumbuka nafanyiwa upasuaji huku nikiwa na mashine ya kupumulia 😓 R I P cute
NadhanI tatizo kubwa linakuwa shida ni preassure.

Ila madogo sisi tuliozaliwa kwa operation tunakuwaga wacheshi afu wajanjawajanja yani,tumawahi kuona mwanga mapema tofaut na yule anayezaliwa kwa njia ya kusukumwa na kuvutwa.
 
NadhanI tatizo kubwa linakuwa shida ni preassure.

Ila madogo sisi tuliozaliwa kwa operation tunakuwaga wacheshi afu wajanjawajanja yani,tumawahi kuona mwanga mapema tofaut na yule anayezaliwa kwa njia ya kusukumwa na kuvutwa.
Ucheshi hujakosea,wanangu ni wacheshi sana.Yeah,nina shida ya pressure ya kupanda wakati wa kujifungua
 
eti UZEMBE wa daktari! ,,, halafu huna hata chembe ya ufahamu wa RISK wala COMPLICATIONS zozote za C-Section.
 
Daahh nikionaga hizi habar za maternal death huwa ubongo una stuck kabisa maana wife ni previous scar mjamzito miez 6 na ana pressure ya kushuka Kila nikiuliza naambiwa uwezekano mkubwa akafanyiwa tena upasusji basi ndio nachoka Zaid.

Mungu atamfanyia wepesi Ameen!!!
 
Poleni wanahabari mbeya.
 
Pole nyingi sana kwa baba watoto. Ni uchungu kuachiwa kitoto kichanga. Mungu ampe moyo mkuu huyo baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…