Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Man japokuwa siungi mkono tukio lililotokea..
Lakin huyo marehem alikwua anafikiria nini?
Alijua kabisa anaingiza mifugo park,kitu ambacho ji kinyume na sheria.

Na sheria ziko wazi zinastate kuwa mifugo itapigwa fine.. or mwenye mali akishindwa kuleta fine.. basi mifugo hupigwa mnada.

Uzuri ni kuwa wizara ya maliasil imekuwa ikitoa elimu miaka na miaka kwa wafugaji wanaozungula maeneo ya hifadhi.
But guess what hawasikii? Still wanaingiza mifugo huku wakizijua sheria
Hata kama. Matamshi ya RC ni rubbing salt to the wound, si ya kistaarabu na angefukuzwa.
Unachosema, ingawaje nina reservation juu ya sheria nyingi TZ na jinsi zinavyotungwa, kiasi hakuna ushauriano na waathirika wala remedy.....inaonesha tu tunaishi katika dola ya ushenzi, ambapo maisha ya mtu is the last thing of concern!
 
Mwekezaji mzawa katika sekta ya mifugo huko Ihefu mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga kwenye mti porini baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na askari wa Idara ya Maliasili.

Baba wa marehemu amesema mwanae amejinyonga kwa kuhofia ufukara na umaskini baada ya kunyang'anywa ng'ombe wake wote ambao wamehifadhiwa ofisi ya wilaya.

Naye mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila amekiri kupata taarifa za tukio hilo na ametaka Serikali isihusishwe kwa namna yoyote ile na uamuzi wa mwekezaji huo kujinyonga kwani huo ni uamuzi wake binafsi hakuna aliyemshinikiza.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Mitano tena
 
Hata kama. Matamshi ya RC ni rubbing salt to the wound, si ya kistaarabu na angefukuzwa.
Unachosema, ingawaje nina reservation juu ya sheria nyingi TZ na jinsi zinavyotungwa, kiasi hakuna ushauriano na waathirika wala remedy.....inaonesha tu tunaishi katika dola ya ushenzi, ambapo maisha ya mtu is the last thing of concern!
No body cares kuwa ni rubbing salt to the wound. Ukitaka ujue the goverment doesnt give a fuk about it.. nenda mahakamani.
Wenyewe wana play na vifungu vya sheria..they dont care about emotional state ya mtu.

Chalamila kaongea trash yes.. but hatoguswa. Why? Sheria huku chini imesha state.
 
Ukiona hivyo ujue huko huko maliasili kuna wanaowaruhusu hao wafugaji kuingia hifadhini baada ya kutoa kitu kidogo!
Exactly na huo ndio ukweli.
Kuna matajiri wakubwa tu wako mjini lakin huko vijijini wanamiliki mifugo kibao.

Na kwa namna nyingine wanapenyeza pesa kwa askari au viongozi ili mifugo ile.
Sasa wanazoea vibaya.. muda mwingine unakuta mfugaji anatembea na mil20.. porin?
Anafanya nazo nini?
Kama sio kuhonga.

Sometimes hard problems.. require hard solution
 
Duuh hatari hiyo Nchi walioweza kujikongoja nao wanapotezea ramani zao mpaka wanafikia kujiua dah mnawachukia wanaoweza kujiendesha wenyewe badala ya kutengeneza mazingira mazuri ya wao kufanikiwa zaidi...
 
Ukiona hivyo ujue huko huko maliasili kuna wanaowaruhusu hao wafugaji kuingia hifadhini baada ya kutoa kitu kidogo!
hifadhi Ni eneo kubwa sana mzee haliwezi kuwa covered lote, Kuna maeneo ili kujua mifugo imeingia na mahali ilipo Ni lazima warushe ndege ya patrol
 
Makabila mengine ni ya kipuuzi sana.
Ng'ombe 50 unajinyonga?

Kuna mtu kaibiwa $100000 US, na mpaka leo anadunda, ukimuuliza anakujibu "pesa inatafutwa" lakini sio uhai.

NB: Huyo jamaa ni mpuuzi, tena inabidi acharazwe viboko 15 kabla ya kuzikwa, ili iwe fundisho kwa wenye mawazo kama yake.
Tena huko alipo kama watampokea wamtandike
Bakora za nguvu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom