Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Chalamila hukwepi hapo,Kama vile makonda na marehemu Nani vile,Wilson kabwe sijui
 
Kama ni Taifa la wastaarabu, matamshi hayo ya RC yanamfanya moja kwa moja afukuzwe kazi. Ila bado tuko washenzi, maisha ya mtu hayana thamani.
 
Kwa nini asingemuwinda Chalamila maana angempiga sime moja tu shingoni na wanajf wote tungesema MITANO TENA
 
Makabila mengine ni ya kipuuzi sana.
Ng'ombe 50 unajinyonga?

Kuna mtu kaibiwa $100000 US, na mpaka leo anadunda, ukimuuliza anakujibu "pesa inatafutwa" lakini sio uhai.

NB: Huyo jamaa ni mpuuzi, tena inabidi acharazwe viboko 15 kabla ya kuzikwa, ili iwe fundisho kwa wenye mawazo kama yake.
 
ni sahihi, na inasemekana chanzo Ni vitisho alivyopata kutoka kwa baba yake kwa kusababisha ng'ombe kukamatwa hifadhini.
Daah.
Aisee huyo baba yake nae nilimuona alihojiwa pia kuna watu wanadai sijui ni matamko aliyotoa Chalamila.

Ila ni tukio la kusikitisha kwakweli.
 
Yeye mwenyewe ndio aja ya thamini maisha yake.
Angenyongwa wote tunge sikitika, lakini kajinyonga mwenyewe!? acha afe tu.
Kama ni Taifa la wastaarabu, matamshi hayo ya RC yanamfanya moja kwa moja afukuzwe kazi. Ila bado tuko washenzi, maisha ya mtu hayana thamani.
 
Yeye mwenyewe ndio aja ya thamini maisha yake.
Angenyongwa wote tunge sikitika, lakini kajinyonga mwenyewe!? acha afe tu.
Wewe na wengine mnaompuuza marehemu ni dalili tosha ya kuathirika na serikali ya ukandamizaji. Huyu mtu amejiuwa kwa kunyang'anywa kiini cha maisha yake. Katika hilo kila mtu ana namna yake ya ku react. Hata Ulaya, watu walio na vitu vingi, watu wamejiuwa kwa kupoteza walichoona ndiyo sababu kuu ya maisha yao.
Serikali za kishenzi huwa zinaathiri hata fikra za watu, watu nao wageuka wanyama hawana huruma!
 
Mwekezaji mzawa katika sekta ya mifugo huko Ihefu mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga kwenye mti porini baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na askari wa Idara ya Maliasili.
huyo sio muwekezaji,huyo ni mfugaji wa kizamani tu
Una ng'ombe 50,malisho unategemea kwenye misitu ya hifadhi?
 
Sasa mbona ikitokea anayetaka kujiua akanusurika serikali huwa inaingilia na kumfungulia mashitaka..si wangekuwa wanawaacha kwasababu alitaka kujia kwasababu zake mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe na wengine mnaompuuza marehemu ni dalili tosha ya kuathirika na serikali ya ukandamizaji. Huyu mtu amejiuwa kwa kunyang'anywa kiini cha maisha yake. Katika hilo kila mtu ana namna yake ya ku react. Hata Ulaya, watu walio na vitu vingi, watu wamejiuwa kwa kupoteza walichoona ndiyo sababu kuu ya maisha yao.
Serikali za kishenzi huwa zinaathiri hata fikra za watu, watu nao wageuka wanyama hawana huruma!
Man japokuwa siungi mkono tukio lililotokea..
Lakin huyo marehem alikwua anafikiria nini?
Alijua kabisa anaingiza mifugo park,kitu ambacho ji kinyume na sheria.

Na sheria ziko wazi zinastate kuwa mifugo itapigwa fine.. or mwenye mali akishindwa kuleta fine.. basi mifugo hupigwa mnada.

Uzuri ni kuwa wizara ya maliasil imekuwa ikitoa elimu miaka na miaka kwa wafugaji wanaozungula maeneo ya hifadhi.
But guess what hawasikii? Still wanaingiza mifugo huku wakizijua sheria
 
Man japokuwa siungi mkono tukio lililotokea..
Lakin huyo marehem alikwua anafikiria nini?
Alijua kabisa anaingiza mifugo park,kitu ambacho ji kinyume na sheria.

Na sheria ziko wazi zinastate kuwa mifugo itapigwa fine.. or mwenye mali akishindwa kuleta fine.. basi mifugo hupigwa mnada.

Uzuri ni kuwa wizara ya maliasil imekuwa ikitoa elimu miaka na miaka kwa wafugaji wanaozungula maeneo ya hifadhi.
But guess what hawasikii? Still wanaingiza mifugo huku wakizijua sheria
Ukiona hivyo ujue huko huko maliasili kuna wanaowaruhusu hao wafugaji kuingia hifadhini baada ya kutoa kitu kidogo!
 
Mwekezaji mzawa katika sekta ya mifugo huko Ihefu mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga kwenye mti porini baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na askari wa Idara ya Maliasili.

Baba wa marehemu amesema mwanae amejinyonga kwa kuhofia ufukara na umaskini baada ya kunyang'anywa ng'ombe wake wote ambao wamehifadhiwa ofisi ya wilaya.

Naye mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Chalamila amekiri kupata taarifa za tukio hilo na ametaka Serikali isihusishwe kwa namna yoyote ile na uamuzi wa mwekezaji huo kujinyonga kwani huo ni uamuzi wake binafsi hakuna aliyemshinikiza.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Haya sasa amekufa furahini zaidi. Udhalimu wote huu kwa Mungu mtajibu nini?

Kama ni makosa ya mchunga ng'ombe mwenye ng'ombe na ng'ombe wake wana husika vipi hadi mtu akajinyonge?

Haya ni yale yale ya kutaifisha gari alilokuwa nalo dereva kwa kukutwa na wahamiaji haramu au zinazoitwa nyara za serikali. Mwenye gari anahusika vipi hapo kama si njama zenu za unyang'anyi?

Serikali hii mwogopeni mola huyo mnayetaka kutuaminisha sisi kuwa eti wokovu nyie mmekabidhi hatima yetu na corona kwake.
 
Back
Top Bottom