CCM mnaua watu; mmewajaza watu hofu kiasi cha kuona ni afadhali kuutoa uhai kuliko kuikabili Serikali yao popote na wakapata haki hata mahakamani. Hili ni tatizo kubwa!!
Hii maiti ni yenu, muitafune sasa !! Ingekuwa amri yangu huyu Mkuu wa Mkoa angekuwa fired jana hiyo hiyo.
Hii maiti ni yenu, muitafune sasa !! Ingekuwa amri yangu huyu Mkuu wa Mkoa angekuwa fired jana hiyo hiyo.