ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Mrekebishe ukosee wewe.Hii ENGLISH mkuu hebu ipitie taratibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrekebishe ukosee wewe.Hii ENGLISH mkuu hebu ipitie taratibu
Kwa hiyo alitakiwa kuvunja sheria ili akauze hizo ng'ombe zake?Serikali isihusishwe na kifo cha mwananchi wake ?
Je huyo jamaa angepata utajiri na kuuza mifugo mpaka nje na kuletea kodi taifa tusingeiongelea serikali ya awamu ya 5 ?
When you take credit for all good things, don't forget to take responsibility when they go wrong...
itakuwa ya Zambia mana ndo jiran zaidiLabda ya Malawi maana pale ni karibu sana
Kujinyonga?!Bado waziri wa utalii mstaafu [emoji23][emoji23]
Lazima ujue kuwa uhai wako una thamani kuliko wa wengine wote, hasa wale wanaokuletea matatizo.Awashughulikie kivip? Japokuwa nasikitika kwa hili tukio.
Lakin niseme tu sheria imewapa nguvu askari wanyamapori kukamata mifugo inayoingia kwenye hifadhi bila kibali.
Mwenye mifugo atatozwa fine au akishondwa mifugo inapigwa mnada. Kwa mujib wa sheria za nchi.
Chalamila amepanic!
Mie mwenyewe nashangaa.mbona kapatia ki English. Au kosa liko wapi
Huyu si ndiye alimtwanga mtu risasi ya kichwa halafu akajipongeza kwa kunywa beer mbili? Watu wenye vichwa dizaini ya huyo jamaa ni wa kukalia mbali sana.
Mitano tenaRC Chalamila jana alionekana kupitia ITV habari akiongoza operesheni hiyo na kuna mkwara aliupiga duh.........rip mwekezaji mzawa!
NjombeChalamila anatumia "BANGE" ya wapi?
Kwa staili kama ya MwamwindiKuna umuhimu wa kuwajenga wananchi kuwa na mawazo chanya katika mapambano.
Kwa nini asiwaze kuwashughulikia waliokamata mifugo yake?