Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

RC Chalamila jana alionekana kupitia ITV habari akiongoza operesheni hiyo na kuna mkwara aliupiga duh.........rip mwekezaji mzawa!
Alifanya mkutano na hao waafugaji akawaambia anawapa wiki moja watoe mifugo yao huko kwenye hifadhi la sivyo itakamatwa. Ila Kama kawaida ya wabongo, wakawa vichwa ngumu
 
Kwa hiyo serikali imeshindwa kabisa kuwaelimisha hawa wafugaji wa kuhama hama kubadili hii aina ya ufugaji?

Miaka nenda sasa jamii ya Wamasai, Wabarbaig, Wasukuma, nk. Wamekuwa wakihama hama hovyo na idadi kubwa ya mifugo wakitafuta maeneo ya malisho, huku wakifanya uharibifu mkubwa wa mazingira!

Ni kwa nini wasitafutiwe maeneo maalum ambayo watatulia na mifugo michache, huku wakiifuga kisasa badala ya kiholela kama ilivyo desturi yao ya vizazi na vizazi!!!
 
Kabisa, kiasi kwamba ukituambia habari za kwenye TV za nyumbani tunashangaa bado kuna watu wanalishwa ujinga? Sasa hivi ukitaka habari balanced uje mitandaoni, na sio kwenye hizo media zilizobanwa.
Unaamini zaidi za yule mfalme wa twitani?!
 
Pole yake sana

Kuna kauzi kalitrend asubuhi kuwa serikali ianze kutoza kodi kwa kila ng'ombe

Niliona mazingira sio rafiki saa hii kuna mfugaji kasepa kawaachia ng'ombe

Kiukweli mazingira sio rafiki kivile kwa wafugaji
Hata mm nlkaona hako ka uzi nikasoma comments za watu kiukwel nilishindwa kukubal au kukataa na mtoa maoni
 
Unaamini zaidi za yule mfalme wa twitani?!

Kwenye mitandao yote kuna habari balanced kuliko kwenye hizo TV. Hizo habari za huyo mfalme wa twitan tanachambua upi ni ukweli, na zipi ni matango pori. Na uzuri wa mitandaoni unasoma utakacho, na kuhoji pale unapoona sio. Lakini kwenye TV unalishwa propaganda mwanzo mwisho na huna nafasi ya kuhoji.
 
Kwa hiyo serikali imeshindwa kabisa kuwaelimisha hawa wafugaji wa kuhama hama kubadili hii aina ya ufugaji?

Miaka nenda sasa jamii ya Wamasai, Wabarbaig, Wasukuma, nk. Wamekuwa wakihama hama hovyo na idadi kubwa ya mifugo wakitafuta maeneo ya malisho, huku wakifanya uharibifu mkubwa wa mazingira!

Ni kwa nini wasitafutiwe maeneo maalum ambayo watatulia na mifugo michache, huku wakiifuga kisasa badala ya kiholela kama ilivyo desturi yao ya vizazi na vizazi!!!

Elimu, mikakati muhimu, wapewe eneo.

Kufundishwa mbinu za kisasa na itachukua muda mrefu kumfundisha mmasai kuacha asili yake.
 
Duh pole kwa wafiwa! Serikali ni watu na watu ni serikali! Why isihusishwe hapo? Raia wake kakatiza uhai🤔
Yaani serikali inawaogopa mabeberu kuliko wananchi wake!!!hapo angekuwa ni mzungu, matamko yangekuwa mengi sana, ya kujikosha, lakini kwakuwa ni mzawa!!kosa ni lake!!!ndio maana utasikia majibu ya KIBANDIDU!!ukitaka kuona nchi hii ina vyombo vya ulinzi imala, tatizo la kihalifu limkute mzungu!
 
Ihefu kuna uwekezaji gani? Kwanini wasielewe kwamba wanaharibu vyanzo vya maji? Kitu kingine tunakosa elimu kwa wakulima na wafugaji. Mbinu za kale sasa hivi zinaleta mihemko na vifo kama hivi.

Usangu alichukua Mram...sijui amelipa zile billions?
 
Yaani serikali inawaogopa mabeberu kuliko wananchi wake!!!hapo angekuwa ni mzungu, matamko yangekuwa mengi sana, ya kujikosha, lakini kwakuwa ni mzawa!!kosa ni lake!!!ndio maana utasikia majibu ya KIBANDIDU!!ukitaka kuona nchi hii ina vyombo vya ulinzi imala, tatizo la kihalifu limkute mzungu!!!
This isn't fair kwakweli! Hilo tamko la kikauzu sana dah🙄
 
Nimesikitika Sana na kifo Cha mfugaji huyo
Hao waliokamata ng'ombe wake wanahusika mojakwamoja na kifo hicho tutegemee Jeshi letu la Polisi litawachukulia hatua stahiki wore waliosababisha kifo hicho
 
Chalamila ndiye mtu wa kwanza wa kulaumiwa maana yeye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kusisitiza kuwa hao ng'ombe lazima wakamatwe na sheria zichukue mkondo wake.
 
Back
Top Bottom