Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Mbeya: Mwekezaji ajinyonga baada ya ng'ombe wake 50 kukamatwa na Maliasili, RC Chalamila acharuka asihusishwe

Kuna umuhimu wa kuwajenga wananchi kuwa na mawazo chanya katika mapambano.
Kwa nini asiwaze kuwashughulikia waliokamata mifugo yake?
Awashughulikie kivip? Japokuwa nasikitika kwa hili tukio.
Lakin niseme tu sheria imewapa nguvu askari wanyamapori kukamata mifugo inayoingia kwenye hifadhi bila kibali.
Mwenye mifugo atatozwa fine au akishondwa mifugo inapigwa mnada. Kwa mujib wa sheria za nchi.
 
Alifanya mkutano na hao waafugaji akawaambia anawapa wiki moja watoe mifugo yao huko kwenye hifadhi la sivyo itakamatwa. Ila Kama kawaida ya wabongo, wakawa vichwa ngumu
Kama kawaida yetu. Mifugo ikidakwa watu wanaona wameonewa. Wameonewa kivip wkt sheria ziko wazi?
Taratib za kupata hiyo mifugo nayo iko wazi
 
Pole yake sana

Kuna kauzi kalitrend asubuhi kuwa serikali ianze kutoza kodi kwa kila ng'ombe

Niliona mazingira sio rafiki saa hii kuna mfugaji kasepa kawaachia ng'ombe

Kiukweli mazingira sio rafiki kivile kwa wafugaji
Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwa hiyo serikali imeshindwa kabisa kuwaelimisha hawa wafugaji wa kuhama hama kubadili hii aina ya ufugaji?

Miaka nenda sasa jamii ya Wamasai, Wabarbaig, Wasukuma, nk. Wamekuwa wakihama hama hovyo na idadi kubwa ya mifugo wakitafuta maeneo ya malisho, huku wakifanya uharibifu mkubwa wa mazingira!

Ni kwa nini wasitafutiwe maeneo maalum ambayo watatulia na mifugo michache, huku wakiifuga kisasa badala ya kiholela kama ilivyo desturi yao ya vizazi na vizazi!!!
Kaka mm ni shahidi. Elimu wamepewa.. toka enzi za JK.

Wanapewa na kuelimishwa .. tanapa inapeleka wataalam kwenye vijini vinavyozunguka hifadhi kuwa na ufugaji wa kisasa.

Lakin hawasikii.. miaka nenda miaka rudi.
 
Serikali ni nani? Chalamila Zero
emoji3447.png
emoji2962.png
 
Nimesikitika Sana na kifo Cha mfugaji huyo
Hao waliokamata ng'ombe wake wanahusika mojakwamoja na kifo hicho tutegemee Jeshi letu la Polisi litawachukulia hatua stahiki wore waliosababisha kifo hicho
Jeshi la polisi liwachukulie jeshi la uhifadhi hatua?
Askari wamekamata mifugo wakiwa katika eneo lao kazi ambalo ni hifadhi, na sheria inawataka kufanya hivyo.
Sasa kosa ni la nani?
 
Alifanya mkutano na hao waafugaji akawaambia anawapa wiki moja watoe mifugo yao huko kwenye hifadhi la sivyo itakamatwa. Ila Kama kawaida ya wabongo, wakawa vichwa ngumu
Alaa kumbe walijua utani vile!
 
Kwa hiyo serikali imeshindwa kabisa kuwaelimisha hawa wafugaji wa kuhama hama kubadili hii aina ya ufugaji?

Miaka nenda sasa jamii ya Wamasai, Wabarbaig, Wasukuma, nk. Wamekuwa wakihama hama hovyo na idadi kubwa ya mifugo wakitafuta maeneo ya malisho, huku wakifanya uharibifu mkubwa wa mazingira!

Ni kwa nini wasitafutiwe maeneo maalum ambayo watatulia na mifugo michache, huku wakiifuga kisasa badala ya kiholela kama ilivyo desturi yao ya vizazi na vizazi!!!
Kimbadikisha mtu tabia ya kuridhi huwa ni ngumu sana, sio kazi raisi hivyo, unavyoona ng'ombe kiburi chake na mfugaji hivyo hivyo
 
Hivi ng'ombe 50 unapitisha mtaani na kwenye mashamba ya watu bila aibu? Acha tu ajinyonge waliobaki wajifunze kufuga kisasa.

Nafikiri hujawahi kufuga hata kuku mkuu.
 
Inamaana hao ng'ombe hamsini wana thamani sawa au zaidi ya maisha yake? hili ndio tatizo la serikali kuwekeza kwenye elimu ya la saba pekee.
 
Nakumbuka RC alitangaza vita dhidi ya wafugaji,

Alisema atawapiga risasi matokeo yake ndio haya.
 
Kama huyo mfugaji alikuwa ni Mhehe(Mwagito)...sina wa kumlaumu

Lakini pamoja na yote akili yake ilifikia mwisho wa kutatua tatizo lake, mwisho wa siku akaona hiyo ndio suluhu....

Swali najiuliza: Je serikali itaendelea kuwashikilia ng'ombe wake...???

Hao walioswaga hao ngo'mbe mioyo yao inajuta juu ya tukio hili...

R.I.P
 
Matendo kama haya yalisababisha machafuko makubwa sana kwenye mataifa ya watu wanaoheshimu utu na haki hawakukaa kimya.
 
hahaha. Chalamila hana ubia kabisa na wawekezaji. Alipofika kwa Sugu naona aligonga mwamba[emoji2]
 
Chalamila pamoja na genge lako kutoka Tanapa mtavuna mlichopanda
 
Kama ingekuwa Ufukara ndiyo sababu ya Mtu kuamua Kujiua / Kujinyonga yawezekana kwa tunayoyapitia leo hii wengi wetu tungekuwa Udongo.
 
Back
Top Bottom