johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #121
Wewe kweli ni Kalumanzila!Soma comment yangu hapo ya USELESS PEOPLE WITH USELESS MINDS ! Ni jibu kwako kwa hii myopic comment uliyotoa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli ni Kalumanzila!Soma comment yangu hapo ya USELESS PEOPLE WITH USELESS MINDS ! Ni jibu kwako kwa hii myopic comment uliyotoa!
Kalumanzila kafanya yake!
Ni mwizi tu kama wengineSasa kama RC kakosea nini? Ulisikia kakamata ng'ombe kapeleka kwake au maeneo walioyatenga? Tena kawa straight kwamba sheria uchukue mkondo wake
Nilimsikia anasema kama kawaida ya wafugaji walianza kupiga simu wahonge pesa
Muwekezaji kwenye hifadhi? Alipata wapi permit ya kufanya ufugaji ndani ya hifadhi? Hii sio mara ya kwanza kufanyika oparesheni huko Ihefu seems watu hawajifunziChalamila pamoja na genge lako kutoka Tanapa mtavuna mlichopanda
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Acheni uji.nga kwenye mambo ya msingi! Ng'ombe 50 nao unaita mtu " Mwekezaji"! Upeo mdogo Tanzania sasa ni ugonjwa sugu kweli!
Kwa hiyo serikali imeshindwa kabisa kuwaelimisha hawa wafugaji wa kuhama hama kubadili hii aina ya ufugaji?
Miaka nenda sasa jamii ya Wamasai, Wabarbaig, Wasukuma, nk. Wamekuwa wakihama hama hovyo na idadi kubwa ya mifugo wakitafuta maeneo ya malisho, huku wakifanya uharibifu mkubwa wa mazingira!
Ni kwa nini wasitafutiwe maeneo maalum ambayo watatulia na mifugo michache, huku wakiifuga kisasa badala ya kiholela kama ilivyo desturi yao ya vizazi na vizazi!!!
Nadhani kuna haja ya kukaa na wawekezaji hao kujua Nini tatizo au changamoto wanayokutana nayo ili kupata suluhisho la kudumu.Siku Chache zilipita nilimwona mh waziri na karibu wake mkuu wa wizara wakijaribu kusikiliza kero za wawekezaji hao ambapo mzee mmoja alitoa taarifa za uongo uliotaka kumsababishia kuswekwa ndani.Kwa namna nilivyofuatilia ziara ile nikagundua kuwa kuna mambo hayaendi sawa pale mbalali hivyo ni lazima intervention ifanyike ili wawekezaji wasifilisike na kusababisha vifo.God save us
Labda alitaka aandike serve ass😀mbona kapatia ki English. Au kosa liko wapi
Askari wa tanapa nadhani hawana makosa kwenye hili. Wao wamekata ng'ombe wameingia hifadhini. Na sheria inawataka hivyo. Hawajavunja sheria yoyote.Chalamila pamoja na genge lako kutoka Tanapa mtavuna mlichopanda
Ni sahihi gramatically hata semanticallymbona kapatia ki English. Au kosa liko wapi
Ni sahihi. Not Si sahihi. NI SAHIHI. GOD SAVE US.✅how? Samahani waweza elezea alitakiwa aandike nini instead. Nataka nijifunze sio kukuchora.
Utakamataje ng'ombe wote badala ya mtu,Askari wa tanapa nadhani hawana makosa kwenye hili. Wao wamekata ng'ombe wameingia hifadhini. Na sheria inawataka hivyo. Hawajavunja sheria yoyote.
Unakamataje mtu uache ng'ombe ambao ndio kidhibiti? Halafu fine atalipa nani?Utakamataje ng'ombe wote badala ya mtu,
Ingekuwa vyema akamatwe mmiliki na uchukuliwe ushahidi wa picha na gps kwamba ng'ombe walikuwa eneo la hifadhi
Kwenye hili na mengine yanayohusiana na hili inabidi utashi wa binadamu uongezeke zaidi
Hukuelewa kilichoandikwa na kukurupuka tu kujibu usichoelewa!Umeshawahi kukaliwa na mamlaka utosini?
RC Chalamila jana alionekana kupitia ITV habari akiongoza operesheni hiyo na kuna mkwara aliupiga duh.........rip mwekezaji mzawa!