Matokeo ya ujinga wakuifanya siasa kua ajira ...na badoHaya mambo siyo ya kujideula nayo ni lazima tujiulize kuna nini?
Wanauawa hadi Vijana Wadogo kabisa 🐼
Serikali ichukue hatua haraka tafadhali
Swela!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo ya ujinga wakuifanya siasa kua ajira ...na badoHaya mambo siyo ya kujideula nayo ni lazima tujiulize kuna nini?
Wanauawa hadi Vijana Wadogo kabisa 🐼
Serikali ichukue hatua haraka tafadhali
Swela!
Wanawatisha vijana.Haya mambo siyo ya kujideula nayo ni lazima tujiulize kuna nini?
Wanauawa hadi Vijana Wadogo kabisa 🐼
Serikali ichukue hatua haraka tafadhali
Swela!
Matokeo ya upande mmoja kufumbia macho haya matukio, upande mwingine ukikosa kupewa haki, utatafuta namna nyingine ya kupata justiceHaya mambo siyo ya kujideula nayo ni lazima tujiulize kuna nini?
Wanauawa hadi Vijana Wadogo kabisa 🐼
Serikali ichukue hatua haraka tafadhali
Swela!
Si ulaumu hata wewe mkuu kama unaamini hao uliowataja wamehusika, au umezuiliwa kulaumu?Ingekuwa kauawa kiongozi wa chama pinzani tayari wangesema kauawa na polisi kwa maelekezo ya rais Samia. Lakini kwakuwa aliyeuawa ni kiongozi wa chama tawala hamna maneno mengi ya kulaumu polisi na rais Samia na waziri Masauni.
Lucas Mwashambwa njoo uone drama na kifo ni kifo tuMwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni, Kata ya Makongorosi Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, Michael Kalinga amekutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne, Desemba 3, 2024 na mwili wake kukutwa Kata ya Mkola.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Wilbert Siwa amesema wamepata taarifa za mauaji ya Kalinga na wanaendelea kuzifanyia kazi.
Katibu wa CCM Wilaya Chunga, Charles Jockel akizungumza na Mwananchi amesema amepokea taarifa hizo leo Jumanne asubuhi kutoka kwa uongozi wa CCM Kata ya Makongorosi.
"Haijulikani alikuwa anakwenda au kurudi Makongorosi maana mwili wake umekutwa eneo la kuelekea Kata ya Mkola," amesema Jockel.
Subiri na wewe siku yako ya kuoshwa kwakuwa unapofurahia kifo cha mwenzio na wewe siku Moja Kuna watu watafurahia kifo chako.Sikuwah kufurahia kifo ila hii tunaita muosha kaoshwa..
HakikaKuna uhuni Fulani unafumbiwa macho ila madhara yake yatatukosti kama taifa.wote Yani kwa ujumla wetu
Hizi siasa za Samia ni hatari sana sijui tufanye nini kwani 2025 itakuwa majanga hasa.Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni, Kata ya Makongorosi Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, Michael Kalinga amekutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne, Desemba 3, 2024 na mwili wake kukutwa Kata ya Mkola.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Wilbert Siwa amesema wamepata taarifa za mauaji ya Kalinga na wanaendelea kuzifanyia kazi.
Katibu wa CCM Wilaya Chunga, Charles Jockel akizungumza na Mwananchi amesema amepokea taarifa hizo leo Jumanne asubuhi kutoka kwa uongozi wa CCM Kata ya Makongorosi.
"Haijulikani alikuwa anakwenda au kurudi Makongorosi maana mwili wake umekutwa eneo la kuelekea Kata ya Mkola," amesema Jockel.
Mwenyekiti anaandaa mazingira ya 2025 kulingana na "washauri" wake wanavyompa masharti na maelekezo. Tutaona mengi.Hii nchi kuna kitu kinafukuta alafu ukweli unafichwa ila hacha inyeshe tuone panapovuja
Wapo wanaoshadadia na kuhamasisha huo ujinga ama kwa kujua ama kwa uzuzu waoInasikitisha sana!
Haya mambo ndio katoka kusema Askofu Yuda Thadeus Ruwa'ichi....
Naona taratibu tunaelekea kwenye matatizo makubwa sana kama Taifa....
Vipo likizoEhhee.usipoziba ufa utajenga ukuta.vyombo vya Sheria si havipo
CCM wakishamalizana na wewe wanakuua wewe mwenyeweKwa ninavyowafahamu vijana wa uvccm, si ajabu huyo marehemu alikuwa mastermind wa kupanga mipango ya kuwaua/kuwadhuru wapinzani huku naye akiwindwa na wabaya wake humo ccm!
Watu wa CCM siku mkijua kuwa maisha ni ubatili mtupu na hakuna aliye na haki ya kuamua hatima za watu wengine hapa chini ya jua ndipo mtakuwa na amani mioyoni mwenu. Kifo cha Magufuli nilitegemea kiwe somo zito sana kwenu, ila kwakuwa hamjitambui hamkuambulia chochote!
Wewe utaingia peponi kwa magari ya kijani ya ccm? Mimi nikifa nitafanya bonge la sherehe..kwa kua hamuwezi kuniteka tena,hamtaniua tena,sitopiga kura ya ndiyo na hapana tena...Kwanza hapa nachukia kwanini bado unavuta hewa safi ya Oxygen..bangladeshSubiri na wewe siku yako ya kuoshwa kwakuwa unapofurahia kifo cha mwenzio na wewe siku Moja Kuna watu watafurahia kifo chako.